wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
unapozungumzia tms anayeingiza kwenye huo mtandao ni nyinyi viongozi na wala sio singano.
unapozungumzia mkataba ambao upo kwenye tms haina tofauti na mkataba mliokuwa nao wa kudai miaka 3.
sasa singano anao mkataba wa miaka 2 je huo mkataba wa mesi mnakataa saini ya viongozi na mihuri ya club?
mm nilifikiri mngepereka kwenye mahakama ya tff kwa kushindwa huko mkataba wenu wa miaka 3 feki.
unapozungumzia mkataba ambao upo kwenye tms haina tofauti na mkataba mliokuwa nao wa kudai miaka 3.
sasa singano anao mkataba wa miaka 2 je huo mkataba wa mesi mnakataa saini ya viongozi na mihuri ya club?
mm nilifikiri mngepereka kwenye mahakama ya tff kwa kushindwa huko mkataba wenu wa miaka 3 feki.