Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
tangia dk 58 npo mpka saa nane dk 1 hii haina formula mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tangia dk 58 npo mpka saa nane dk 1 hii haina formula mzee
Endelea na ujuaji wako hivohivotangia dk 58 npo mpka saa nane dk 1 hii haina formula mzee
Hivi nyie hapa mnaongea nini?Mkuu, umenikumbusha Martingale, stochastic process na Markov chain kwenye kozi ya financial mathematics!!
Hii stratergy nimeijaribu ila hili zimwi ni noma, limetembea zaidi ya mara 11 likiwa chini ya 2.00 so naweza kusema hii stratergy unapigwa vizuri tuhabari zenu wana Jf
nimekuja hapa kwa ajiri ya kuwasilisha utafiti wangu ambao nimeufanya juu ya mchezo wa kasino wa AVIATOR ambao unaonekana umewaliza vijana wengi pia unaendelea kuwaliza ,tusipoteze mda ttuende moja kwa moja kwenye hoja kuu
mimi ni kijana ambae nimejihusisha sana na masuala ya BETTING na kugundua huu mchezo wa AVIATOR na kuamua kuufanyia utafiti wa kina.
nilianza kuufanyia utafiti katika kutafuta weakness ya huu mchezo ili kuweza kuupiga pesa na kugundua mambo yafuatayo
- Aviator ni mchezo anmbao unatumia fair Random number generation ili kuweza kuwavuta watu kuendelea kuucheza na kuufurahia mchezo huu kwa kuamini kwamba unatabirika na matokeo yake yapo katika mfumo ambao uko ordered ambapo ni kitu ambacho sio sahihi😀😀😀
- mchezo huu ukifuatilia matokeo yake utagundua kua 1.22 1.00 1.54 2.78 1.99 12.22 na kuendelea
- ndege haiwezi kuruka katika odds x1.00 hadi 1.99 katika mfululizo wa michezo kumi maana kutakua hautumiia fair random number generation hivyo kuwakatisha tamaa wachezaji tamaa na kuuchukia mchezo huu
View attachment 2696072kama tulivyoona kwenye hiyo picha...
kwahiyo ili uwin huu mchezo kwanza hauitaji ela ya harka PIA HAPA NIPO NAONGEA NA WATU AMBAO HAWAHITAJI ELA YA HARK.......... Kwahyo tutakua tuna cheza na ODDS x2.00 tu pia tutakua tunamultiply stake zetu kwakila tunapo lose kama vile 5000,10000,20000,30000
-stake yako itakua inatakiwa iendane na mtaji kwa maana hapa tutakua tunatumia sheria ambayo inasema kwamba EVERY LOSE BRING YOU CLOSER TO WINNING.........KWAMAELEZO ZAIDI UTAINGIA KWENYE DOCUMENT AMBAYO NIMEATTACH KWENYE HUU UZI.......Ambapo utakua na uwezo wa kutengeneza zaidi ya 5000 kwasiku kutokana na mtaji wako,,,,,,,,,,5000 kwa siku itapatikana kwa kutumia mtaji mdogo pia faida yako itakua inategemea na mtaji wako ambao unawekeza
The fact ni “fair” random number generator it’s concerning kwakweli kwenye fairness yake.
If it could have been based on RNG then this could have been fair, but mathematicians wange crack randomization thus why lazima wamanipulate seeds.
Update ya multiplier ni completely unpredictable, which means it’s manipulated and not naturally randomized.
Pale unacheza na operaors na sio computer.
Kinachotokea pale mkisha place bet, system ina fanya lot of calculations based on amounts, previous loss, does betters decrease due to losses, so wanaplay na psychology tu wale shingapi bila kufukuza wateja
Du! Mara 11, so mchezo 😂😂😂 hapo lazima upigwe tu...Hii stratergy nimeijaribu ila hili zimwi ni noma, limetembea zaidi ya mara 11 likiwa chini ya 2.00 so naweza kusema hii stratergy unapigwa vizuri tu
ungetuletea michezo yako 11 ambayo imetembea under 2.0 tuhakikishe lakin pia hii starategie inakupa mda wa kumultiply stake yako kwa kuacha mchezo mmoja mmoja.....Hii stratergy nimeijaribu ila hili zimwi ni noma, limetembea zaidi ya mara 11 likiwa chini ya 2.00 so naweza kusema hii stratergy unapigwa vizuri tu
HahahahahahYeah ndege kuna muda ina flew away in x1.00 ni lost moj kubwa kwa wote hakuna anaenusurk😁😁