Aviator ni utapeli, wacheza kamari shitukeni

Aviator ni utapeli, wacheza kamari shitukeni

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Leo nimeujaribu huu mchezo nimegundua watu wanatapeliwa, ukweli ule mchezo huwezi kushinda pesa nyingi kama watu wanavyodhani, aviator imetengenezwa kwa ajili ya kula tu sio kuliwa😀😀.

Leo nimetegeshea sh 100 nitaweka kwenye kitufe cha autobet Na kitufe cha autocash, cha ajabu kile kindege kimepaa mpaka ikasoma 5000 lakini Kila nakubonyeza kwenye kitufe cha autocash pesa haitoki, lakini vitufe vingine vyote vinakubali, wa cheza kamari amkeni.
 
Hawahitaji kukuibia kwa kutokukupa pesa zako ambazo umeshinda (ambayo ni nadra) sababu the game is rigged..., na hata kwenye betting / gambling yoyote ile mathematically the house has an edge...., Hivyo eventually the House always Wins.... Hata leo ukishinda bilioni nne huenda miaka mitano ijayo utakuwa umewapa bilioni nane (na ukiweka time spent unaweza kuona it was not worthwhile)
 
ingekuwa wanaobetisha wanapata hasara wangekuwa wameshafunga makampuni yao!.. biashara ukitumia akili itakuambia ukae upande gani na upande upi usikae!.
Betting sio Biashara kwa punter (mchezaji) ni biashara kwa mchezeshaji..., Hi ni kama Bar mlevi akinywa anafaidika kivingine kupoza koo (kwahio kama mtu anacheza kwa burudani ni sawa) ila sio kutajirika
 
Leo nimeujaribu huu mchezo nimegundua watu wanatapeliwa, ukweli ule mchezo huwezi kushinda pesa nyingi kama watu wanavyodhani, aviator imetengenezwa kwa ajili ya kula tu sio kuliwa😀😀.

Leo nimetegeshea sh 100 nitaweka kwenye kitufe cha autobet Na kitufe cha autocash, cha ajabu kile kindege kimepaa mpaka ikasoma 5000 lakini Kila nakubonyeza kwenye kitufe cha autocash pesa haitoki, lakini vitufe vingine vyote vinakubali, wa cheza kamari amkeni.
Umenichekesha Sana
 
Betting sio Biashara kwa punter (mchezaji) ni biashara kwa mchezeshaji..., Hi ni kama Bar mlevi akinywa anafaidika kivingine kupoza koo (kwahio kama mtu anacheza kwa burudani ni sawa) ila sio kutajirika
Mkuu embu nioneshe hata Salio la 5 million Ili niamini wewe umetajirika Kwa kutokubet na Mimi nikuoneshe Salio langu nililopata kwenye kubet ambapobwewe unasema ni mchezo wa kujifurahisha huku tunatumia pesa
 
Mkuu embu nioneshe hata Salio la 5 million Ili niamini wewe umetajirika Kwa kutokubet na Mimi nikuoneshe Salio langu nililopata kwenye kubet ambapobwewe unasema ni mchezo wa kujifurahisha huku tunatumia pesa
Biashara ni nini ? Ukijua definition yake basi utafahamu kwamba betting sio Business kwa mchezaji..., Mathematically wewe mchezaji eventually utaliwa tu..., na hata ukipata leeway basi wachezeshaji wataiziba.., their whole business is built by having an edge towards the Punter...

Kwahio hata kama leo hii una Bilioni moja uliyopata kwa betting basi hesabu inakwambia kwamba ukiendelea kubet hio pesa utawapa pamoja na faida...

Haiwezekani everything being equal wewe ukisindwa unipe mimi zaidi kuliko nachokupa wewe ukishinda (common sense itakwambia kwamba eventually mimi nitaibuka kidedea)
 
Biashara ni nini ? Ukijua definition yake basi utafahamu kwamba betting sio Business kwa mchezaji..., Mathematically wewe mchezaji eventually utaliwa tu..., na hata ukipata leeway basi wachezeshaji wataiziba.., their whole business is built by having an edge towards the Punter...

Kwahio hata kama leo hii una Bilioni moja uliyopata kwa betting basi hesabu inakwambia kwamba ukiendelea kubet hio pesa utawapa pamoja na faida...

Haiwezekani everything being equal wewe ukisindwa unipe mimi zaidi kuliko nachokupa wewe ukishinda (common sense itakwambia kwamba eventually mimi nitaibuka kidedea)
Yes. Betting ni zaidi ya DECI mkuu.
 
Biashara ni nini ? Ukijua definition yake basi utafahamu kwamba betting sio Business kwa mchezaji..., Mathematically wewe mchezaji eventually utaliwa tu..., na hata ukipata leeway basi wachezeshaji wataiziba.., their whole business is built by having an edge towards the Punter...

Kwahio hata kama leo hii una Bilioni moja uliyopata kwa betting basi hesabu inakwambia kwamba ukiendelea kubet hio pesa utawapa pamoja na faida...

Haiwezekani everything being equal wewe ukisindwa unipe mimi zaidi kuliko nachokupa wewe ukishinda (common sense itakwambia kwamba eventually mimi nitaibuka kidedea)
Nitajie biashara ambayo haina hasara
 
hamna hela inakuja kirahisi ,Tufanye kazi
That was then.., hardwork pays...

In todays world either being smart au janja janja za hapa na pale na utapeli that is if you equate payment with cash....; lakini kama una equate with feel good factor; basi kuna mwingine anakunywa pombe sio ili apate pesa bali apate ule mzuka...
 
Back
Top Bottom