Awamu hii ni ama ivuke Chadema sanaa au ivuke Chadema wazalendo. Haiwezi kuvuka imechangamana

Awamu hii ni ama ivuke Chadema sanaa au ivuke Chadema wazalendo. Haiwezi kuvuka imechangamana

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Na huo ndiyo ukweli. Chadema ya sasa imechanganya Chadema sanaa na Chadema wazalendo. Hizi Chadema zilikuwa pamoja.

Mbowe ambaye ni kiongozi wa Chadema sanaa ametengana na Lissu ambaye ni kiongozi wa Chadema wazalendo. Hawa watu walikuwa pamoja na sisi wafuasi wa kila mmoja tulikuwa pamoja.

Sasa tumetengana na katu hatutavuka pamoja. Ni lazima kundi mojawapo livuke huo ndiyo ukweli. Sasa wajumbe watakaoamua ndiyo walio wengi kundini. Kazi kwenu.

Lakini niwape tahadhari wajumbe. Huku nje mashabiki wa Chadema sanaa ni CCM. Hawa wanashabikia hii Chadema sanaa kwa maslahi mapana ya mambo yao humo ndani ya CCM. Wananchi wote wasio na vyama na wale mashabiki wa Chadema wasio na kadi wanashabikia Chadema wazalendo. Hawa ni mashabiki ambao wana maslahi ya kutaka kuendelea kuona uhai imara wa Chadema kwa ustawi wa nchi kidemokrasia na kiutawala. Narudia tena kazi kwenu kwa mtakayemridhisha enyi wajumbe.
 
Na huo ndiyo ukweli. Chadema ya sasa imechanganya Chadema sanaa na Chadema wazalendo. Hizi Chadema zilikuwa pamoja.

Mbowe ambaye ni kiongozi wa Chadema sanaa ametengana na Lissu ambaye ni kiongozi wa Chadema wazalendo. Hawa watu walikuwa pamoja na sisi wafuasi wa kila mmoja tulikuwa pamoja.

Sasa tumetengana na katu hatutavuka pamoja. Ni lazima kundi mojawapo livuke huo ndiyo ukweli. Sasa wajumbe watakaoamua ndiyo walio wengi kundini. Kazi kwenu.

Lakini niwape tahadhari wajumbe. Huku nje mashabiki wa Chadema sanaa ni CCM. Hawa wanashabikia hii Chadema sanaa kwa maslahi mapana ya mambo yao humo ndani ya CCM. Wananchi wote wasio na vyama na wale mashabiki wa Chadema wasio na kadi wanashabikia Chadema wazalendo. Hawa ni mashabiki ambao wana maslahi ya kutaka kuendelea kuona uhai imara wa Chadema kwa ustawi wa nchi kidemokrasia na kiutawala. Narudia tena kazi kwenu kwa mtakayemridhisha enyi wajumbe.
..mtabadilisha heading mpaka kesho, lkn hamuwezi kupata hicho mlichotaka..watu wazima na mapumbu mawili mmeshindwa kupokea kilichotokea..hiyo Sanaa wanayofanya wewe inakuondolea nini km umeshawafahamu?
 
..mtabadilisha heading mpaka kesho, lkn hamuwezi kupata hicho mlichotaka..watu wazima na mapumbu mawili mmeshindwa kupokea kilichotokea..hiyo Sanaa wanayofanya wewe inakuondolea nini km umeshawafahamu?
Mimi sihitaji chochote chini ya Chadema ya Mbowe. Sitaitetea popote pale hilo fahamu. Mimi simo tena chini ya Chadema ya Mbowe
 
Chadema ya msigwa na maria si watashindana na chadema ya Mbowe?
Mimi sihitaji chochote chini ya Chadema ya Mbowe. Sitaitetea popote pale hilo fahamu. Mimi simo tena chini ya Chadema ya Mbowe
 
Anayeiua ni Mbowe. Ama kweli watanzania sisi ni watu wa ajabu. Leo Mbowe anaiua Chadema huku akikodoa macho!
Mbowe hana ubavu wa kuiuwa Chadema

Chadema imeuliwa na Wananchi kuanzia Kwa mh Mchengerwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 
Mbowe hana ubavu wa kuiuwa Chadema

Chadema imeuliwa na Wananchi kuanzia Kwa mh Mchengerwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Chadema ni taasisi au chama cha Mbowe

Chadema ni kama Solepropriator ,Mmiliki ni Mbowe ila ina trade kama Chadema
 
Mbowe hana ubavu wa kuiuwa Chadema

Chadema imeuliwa na Wananchi kuanzia Kwa mh Mchengerwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Mbowe alipolamba asali ndiyo ikawa hivyo ten
 
Na huo ndiyo ukweli. Chadema ya sasa imechanganya Chadema sanaa na Chadema wazalendo. Hizi Chadema zilikuwa pamoja.

Mbowe ambaye ni kiongozi wa Chadema sanaa ametengana na Lissu ambaye ni kiongozi wa Chadema wazalendo. Hawa watu walikuwa pamoja na sisi wafuasi wa kila mmoja tulikuwa pamoja.

Sasa tumetengana na katu hatutavuka pamoja. Ni lazima kundi mojawapo livuke huo ndiyo ukweli. Sasa wajumbe watakaoamua ndiyo walio wengi kundini. Kazi kwenu.

Lakini niwape tahadhari wajumbe. Huku nje mashabiki wa Chadema sanaa ni CCM. Hawa wanashabikia hii Chadema sanaa kwa maslahi mapana ya mambo yao humo ndani ya CCM. Wananchi wote wasio na vyama na wale mashabiki wa Chadema wasio na kadi wanashabikia Chadema wazalendo. Hawa ni mashabiki ambao wana maslahi ya kutaka kuendelea kuona uhai imara wa Chadema kwa ustawi wa nchi kidemokrasia na kiutawala. Narudia tena kazi kwenu kwa mtakayemridhisha enyi wajumbe.
Hakuna faction itakayovuka salama hapa. This is the beginning of the end of CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani. NCCR Mageuzi na CUF wanakukaribisheni kwenye “Club”!
 
Hii ngoma wengi wataicha ila mwisho wa siku JABALI HALISI LINAPATIKANA....wenye roho ndogo wameanza kujitosa majini
 
Hakuna faction itakayovuka salama hapa. This is the beginning of the end of CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani. NCCR Mageuzi na CUF wanakukaribisheni kwenye “Club”!
Chadema wazalendo ikivuka basi Chadema itavuka salama!
 
Na huo ndiyo ukweli. Chadema ya sasa imechanganya Chadema sanaa na Chadema wazalendo. Hizi Chadema zilikuwa pamoja.

Mbowe ambaye ni kiongozi wa Chadema sanaa ametengana na Lissu ambaye ni kiongozi wa Chadema wazalendo. Hawa watu walikuwa pamoja na sisi wafuasi wa kila mmoja tulikuwa pamoja.

Sasa tumetengana na katu hatutavuka pamoja. Ni lazima kundi mojawapo livuke huo ndiyo ukweli. Sasa wajumbe watakaoamua ndiyo walio wengi kundini. Kazi kwenu.

Lakini niwape tahadhari wajumbe. Huku nje mashabiki wa Chadema sanaa ni CCM. Hawa wanashabikia hii Chadema sanaa kwa maslahi mapana ya mambo yao humo ndani ya CCM. Wananchi wote wasio na vyama na wale mashabiki wa Chadema wasio na kadi wanashabikia Chadema wazalendo. Hawa ni mashabiki ambao wana maslahi ya kutaka kuendelea kuona uhai imara wa Chadema kwa ustawi wa nchi kidemokrasia na kiutawala. Narudia tena kazi kwenu kwa mtakayemridhisha enyi wajumbe.
Na huo ndio kweli! Kama mbowe akilazimisha kushinda na akashinda kweli basi huo ndio itakuwa mwisho wa chadema. Na kwa hakika mwisho nauona kweli.
 
Chadema imenunuliwa na Abdul na mama yake..nyie pigeni kelele tu
 
Back
Top Bottom