Awamu ya 5 ilikuwa ni genge la majambazi lililojiita wazalendo

Awamu ya 5 ilikuwa ni genge la majambazi lililojiita wazalendo

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Majambazi ndio hutukia bunduki kupora na kuua watu, kuteka watu na kudai fidia

Awamu ya 5 ina sifa zote za ujambazi

Walikuwa wakivamia maduka ya kubadilishia fedha na bunduki na kuchukua fedha

Waliweka watu Rumande na kuwaambia watoe mabilioni ndio itawaachia huru

Walipiga watu waliokuwa wakiwakosoa risasi bila kuogopa

Kulikuwa hakuna uchaguzi, watu wao waliowataka ndio hao hao wangekua wabunge, madiwani ama wenyeviti wa serikali za mitaa

Watu kutekwa na kupatikana mazingira ya kutatanisha huku hakuna mtekaji hata mmoja aliyegundulika

Kuvamia biashara za watu na kuchukua fedha kibabe kwa kisingizio kuwa wanakusanya kodi

Tanzania iliongozwa na kikundi cha majambazi kwa miaka 6

IMG-20230201-WA0000.jpg
 
Kweli lilikuwa genge la majambazi, likiongozwa na mwendazake na msaidizi wake Samia, hii timu ilikuwa mbaya.

Ndio maana wenzako wameendelea kula teuzi toka kwa Samia, wakati wewe unaimba mapambio yenu ya kukariri JF awamu ya 5 ilikuwa ya majambazi.
 
Hakika na Mungu alisikiliza sala za watanzania kwa haraka.

 
Majambazi ndio hutukia bunduki kupora na kuua watu, kuteka watu na kudai fidia

Awamu ya 5 ina sifa zote za ujambazi
Walikuwa wakivamia maduka ya kubadilishia fedha na bunduki na kuchukua fedha
Waliweka watu Rumande na kuwaambia watoe mabilioni ndio itawaachia huru
Walipiga watu waliokuwa wakiwakosoa risasi bila kuogopa

Kulikuwa hakuna uchaguzi, watu wao waliowataka ndio hao hao wangekua wabunge, madiwani ama wenyeviti wa serikali za mitaa

Watu kutekwa na kupatikana mazingira ya kutatanisha huku hakuna mtekaji hata mmoja aliyegundulika

Kuvamia biashara za watu na kuchukua fedha kibabe kwa kisingizio kuwa wanakusanya kodi

Tanzania iliongozwa na kikundi cha majambazi kwa miaka 6

View attachment 2502203
Jambazi mama yako
 
Majambazi ndio hutukia bunduki kupora na kuua watu, kuteka watu na kudai fidia

Awamu ya 5 ina sifa zote za ujambazi
Walikuwa wakivamia maduka ya kubadilishia fedha na bunduki na kuchukua fedha
Waliweka watu Rumande na kuwaambia watoe mabilioni ndio itawaachia huru
Walipiga watu waliokuwa wakiwakosoa risasi bila kuogopa

Kulikuwa hakuna uchaguzi, watu wao waliowataka ndio hao hao wangekua wabunge, madiwani ama wenyeviti wa serikali za mitaa

Watu kutekwa na kupatikana mazingira ya kutatanisha huku hakuna mtekaji hata mmoja aliyegundulika

Kuvamia biashara za watu na kuchukua fedha kibabe kwa kisingizio kuwa wanakusanya kodi

Tanzania iliongozwa na kikundi cha majambazi kwa miaka 6

View attachment 2502203
Majambazi wa kiwango cha juu.
 
Hii nchi na wasiwasi itapata Magufuli mwingine kama wasipoweka katiba mpya , mbaya zaidi wataumia zaidi CCM ya Kina JK na Sa100 kuliko vyama vya upinzani.
Na uzuri chuma kinachokuja kimejifunza kwa makosa ya Magufuli hakuna kuonea huruma kiumbe, hicho
ndicho kilichomponza Magufuli
 
Back
Top Bottom