Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
It's a fact jamaa wana namba na population yao inazidi kuwa kubwa.Tutaona tu macho yetu na masikio ni yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's a fact jamaa wana namba na population yao inazidi kuwa kubwa.Tutaona tu macho yetu na masikio ni yetu.
Mungu awabariki kwa namba yao lakini busara na hekima vinawakosa wengi wao kuona kuwa wao ndiyo wenye uhalali wa kuishi Tanzania na uhalali wa kumiliki kila kitu na kila mtu.It's a fact jamaa wana namba na population yao inazidi kuwa kubwa.
Kama Magufuli aliletwa na shetani sawaMungu yupo na Watanzania hataki viongozi wakabila kabila.
Wasukuma wengi hawana hayo mambo tatizo lao kubwa wanakata miti ya asili kwa ajili ya kilimo na ngombe zao. Mambo ya siasa hawapo kihivyo, na ni jambo mnabidi mshukuru kwa nyie mnaowaogopa.Mungu awabariki kwa namba yao lakini busara na hekima vinawakosa wengi wao kuona kuwa wao ndiyo wenye uhalali wa kuishi Tanzania na uhalali wa kumiliki kila kitu na kila mtu.
ambaye yuko ikuluJambazi mama yako
Mungu anaipenda TanzaniaMungu yupo na Watanzania hataki viongozi wakabila kabila.
Matendo ya Magufuli hayahusiani na Wasukuma, japo yeye ndio alikuwa akitumia usukuma na kuongea kilugha ili wasukuma wamuone mtu waoMsukuma hatakuja kutawala Tanzania kwa sababu rais wa kisukuma alileta ujambazi Tanzania.
Hii nchi na wasiwasi itapata Magufuli mwingine kama wasipoweka katiba mpya , mbaya zaidi wataumia zaidi CCM ya Kina JK na Sa100 kuliko vyama vya upinzani.
Rais wa Tanzania anakuwa determined na Kamati Kuu ya CCM pamoja na wazeeIt's a fact jamaa wana namba na population yao inazidi kuwa kubwa.
Mtumbuuliwa kama wewe! Johnny Sack !Majambazi ndio hutukia bunduki kupora na kuua watu, kuteka watu na kudai fidia
Awamu ya 5 ina sifa zote za ujambazi
Walikuwa wakivamia maduka ya kubadilishia fedha na bunduki na kuchukua fedha
Waliweka watu Rumande na kuwaambia watoe mabilioni ndio itawaachia huru
Walipiga watu waliokuwa wakiwakosoa risasi bila kuogopa
Kulikuwa hakuna uchaguzi, watu wao waliowataka ndio hao hao wangekua wabunge, madiwani ama wenyeviti wa serikali za mitaa
Watu kutekwa na kupatikana mazingira ya kutatanisha huku hakuna mtekaji hata mmoja aliyegundulika
Kuvamia biashara za watu na kuchukua fedha kibabe kwa kisingizio kuwa wanakusanya kodi
Tanzania iliongozwa na kikundi cha majambazi kwa miaka 6
View attachment 2502203
KweliHii nchi na wasiwasi itapata Magufuli mwingine kama wasipoweka katiba mpya , mbaya zaidi wataumia zaidi CCM ya Kina JK na Sa100 kuliko vyama vya upinzani.
Wasiwasi wako nimeuthibitisha. Na hakuna kitu huyo fisadi wala huyo mzanzibari wanaweza kufanya. Chuma kingine ni hakikaHii nchi na wasiwasi itapata Magufuli mwingine kama wasipoweka katiba mpya , mbaya zaidi wataumia zaidi CCM ya Kina JK na Sa100 kuliko vyama vya upinzani.
Majambazi ndio hutukia bunduki kupora na kuua watu, kuteka watu na kudai fidia
Awamu ya 5 ina sifa zote za ujambazi
Walikuwa wakivamia maduka ya kubadilishia fedha na bunduki na kuchukua fedha
Waliweka watu Rumande na kuwaambia watoe mabilioni ndio itawaachia huru
Walipiga watu waliokuwa wakiwakosoa risasi bila kuogopa
Kulikuwa hakuna uchaguzi, watu wao waliowataka ndio hao hao wangekua wabunge, madiwani ama wenyeviti wa serikali za mitaa
Watu kutekwa na kupatikana mazingira ya kutatanisha huku hakuna mtekaji hata mmoja aliyegundulika
Kuvamia biashara za watu na kuchukua fedha kibabe kwa kisingizio kuwa wanakusanya kodi
Tanzania iliongozwa na kikundi cha majambazi kwa miaka 6
View attachment 2502203
Hamna cha chuma wala jiwe wala utopolo wowoteWasiwasi wako nimeuthibitisha. Na hakuna kitu huyo fisadi wala huyo mzanzibari wanaweza kufanya. Chuma kingine ni hakika
wewe utakufa kifo gani?Hamna cha chuma wala jiwe wala utopolo wowote
Chuma hakifi kifo cha aibu, cha kuficha ficha ugonjwa kama mgonjwa wa ukimwi
Kabisa, kila masika na mbu wake.Hiyo kawaida kwa tawala za kiafrika
Kila awamu kuwa na madudu yake
Ova