Awamu ya 5 ilikuwa ni genge la majambazi lililojiita wazalendo

Genge hilo lilikuwa linajiandaa kumpa mfalme wao urais wa vipindi viwili vya miaka saba saba kuanzia 2025 hadi 2039 Nchi hii ingekuwa zaidi ya Somalia - Mungu akawagomea dadeq.
 
Rais wa Tanzania anakuwa determined na Kamati Kuu ya CCM pamoja na wazee
Sio wapiga kura ambao wengi wao ni mbumbumbu

Kamati Kuu ya CCM ndio iliamua Magufuli awe rais, sio hao Wasukuma
Kamati kuu CCM siyo Mungu na siyo wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…