Awamu ya 5 ilivyobainisha watoto wa maskini na wa matajiri HESLB

Awamu ya 5 ilivyobainisha watoto wa maskini na wa matajiri HESLB

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Miaka mitano hii imeigawanya sana jamii. Ukiwa mfanyakazi Serikalini una nafasi fulani na inakupatia mshahara mzuri basi uliambiwa wewe unatakiwa uishi kama shetani awamu ya tano

Hapo inabidi umlipie feesza chuo mwanao. Mtoto ambaye wazazi wake hawaonekani kuwa na uwezo mzuri kiuchumi wanapata mikopo. Mwanangu yupo chuo - anaona tofauti kati yao - mshahara wangu haujapanda for six years na ninatakiwa nilipe fees za wanangu wa chuo. Before kila mwaka mshahara ulikuwa ukipanda kidpgo ninapata space ya kufanya top-up mkopo benki maisha yanaendelea.

Kiukweli kabisaa Mkopo wa HESLB anapaswa akopeshwe mwanangu kwa sababu yeye ndiye atakuja kulipa inakuwaje vigezo vya kukopeshwa yeye vinawekwa kwangu ambaye sitakuja kumipia huo mkopo. HESLB ya ajabu sana. Wanangu walipofikisha miaka 18 wakatolewa kwenye bima ya afya ya NHIF - Ajabu ingine!

Uwalipie bando la NHIF, uwalipie fees wakati angalau hata mikopo ya tuition fees basi wangekopeshwa. Mwanangu mmoja ananiambia mimi ikitokea ninakuja kuwa Mtendaji Mkuu wa HESLB makato ya mikopo itakuwa ni 20% - ya mishahara yao kwani anajisikia uchungu sana wenzao wanaopata mikopo wanavyosoma bila mawazo.

Anafikiria na kuwaza sana baba pamoja na ajira yake serikalini inabidi aendeshe uber ili niweze kuwalipia wao fee simply kwa kuwa eti mimi ninafanya kazi serikalini kwa cheo cha afisa msaidizi mkuuu wao wamekosa mkopo. Nchi hii tumelazimishwa matabaka!

Hatukuwa hivi!
 
Kwenye ku apply mkopo pale kwenye kazi ya mzazi angeweka ni PEASANT siyo cheo
 
Mkuu pole sana kwa machungu hayo. Umeongea mengi lakini kama una uwezo wa kumsomesha mwanao kwa pesa zako msomeshe, bodi ya mikopo ni mzigo mzito sana kwa mwanao kwa sababu makato yao tu ni makubwa sana.

Kama una uwezo jitahidi umlipie kwa hiyo miaka asomayo itamsaidia zaidi hapo mbeleni.
 
Mkuu pole sana kwa machungu hayo. Umeongea mengi lakini kama una uwezo wa kumsomesha mwanao kwa pesa zako msomeshe, bodi ya mikopo ni mzigo mzito sana kwa mwanao kwa sababu makato yao tu ni makubwa sana.

Kama una uwezo jitahidi umlipie kwa hiyo miaka asomayo itamsaidia zaidi hapo mbeleni.
Huo unaoonekana ni mzigo mzito hauwezi kurekebishwa ukawa mzigo wa kawaida au mwepesi kabisa? Haiwezekani kupunguza % za makato au marejesho ya mkopo? Wameharibu hao hao ambao watoto wao hawakuwasomesha kwa mikopo hiyo. Wanaifanya HESLB zaidi za benki za biashara!
 
Pole mkuu Lakini kigezo kikubwa wanachoangalia HESLB ni education background yaani kiwango cha ada alichokuwa akilipa mwanafunzi kabla.
 
Mimi pia ni mzazi na nalipa na wala sioni shida kwa sababu angalau mm nina huo mshahara japo kidogo lakini kuna watoto ma elfu wanatoka familia duni sana na wengine hata gharama za kuomba chuo wanachangiwa na jamaa.

Cha msingi bodi waendelee kuzingatia hizo taratibu ili wasiwepo ambao wanatoka familia zenye ahueni ambao wanapata na wahitaji wakakosa.

Tanzania ni yetu keki hii ndogo tugawane kwa upendo na km una andazi basi acha asiye nalo ale keki kwanza.
 
Pole mkuu Lakini kigezo kikubwa wanachoangalia HESLB ni education background yaani kiwango cha ada alichokuwa akilipa mwanafunzi kablHuoni kuwa wanaingialia hivyo kimakos

Pole mkuu Lakini kigezo kikubwa wanachoangalia HESLB ni education background yaani kiwango cha ada alichokuwa akilipa mwanafunzi kabla.
Huoni kuwa wanakosea pia kuangalia hivyo? Isitoshe hicho ni kigezo kimoja tu umekiongelea. Wangekuwa HESLB wanamkopesha mtoto na kuruhusu mzazi alipe huo mkopo wakati mtoto anaendelea kusoma (kama ilivyo mikopo mingine) hapo inakuwa fair mnakubaliana na mwanao. Sasa hapa ni absolutely mtoto ndiye anayelipa huo kkopo plus riba huko baadaye - so why anyimwe.

Lakini pia hata hicho kigezo cha shule alizosoma mtoto hakiangaliwi sana sababu kuna watoto wengi ambao ikionekana wazazi wo wapo na wanafanya kazi serikalini hata kama walisoma shule za serikali wananyimwa mikopo! Kuna matabaka yameshatokeza tayari kwa kupitia HESLB. Wanaonufaika kirahisi na watoto yatima hata kama wazazi wao wameacha mimali kibao! Ajabu sana!
 
Mimi pia ni mzazi na nalipa na wala sioni shida kwa sababu angalau mm nina huo mshahara japo kidogo lakini kuna watoto ma elfu wanatoka familia duni sana na wengine hata gharama za kuomba chuo wanachangiwa na jamaa...
Mtazamo huu sio mzuri - ndiyo unaoleta matabaka. Kigezo kinapaswa kuangalia maombi ya mtoto husika pia. Mzazi mwenye uwezo hawezi kukubali mwanae akope kama anaelewa ana uwezo wa kumudu hivyo kama wewe ulivyofanya.

Kipindi cha awamu ya 4 kiliweka usawa mzuri kwenye hili hasa kwa kuzingatia umuhimu wa fani husika katika jamii. Siku hizi hakuna kitu kama hicho.
 
Huoni kuwa wanakosea pia kuangalia hivyo? Isitoshe hicho ni kigezo kimoja tu umekiongelea. Wangekuwa HESLB wanamkopesha mtoto na kuruhusu mzazi alipe huo mkopo wakati mtoto anaendelea kusoma (kama ilivyo mikopo mingine) hapo inakuwa fair mnakubaliana na mwanao. Sasa hapa ni absolutely mtoto ndiye anayelipa huo kkopo plus riba huko baadaye - so why anyimwe. Lakini pia hata hicho kigezo cha shule alizosoma mtoto hakiangaliwi sana sababu kuna watoto wengi ambao ikionekana wazazi wo wapo na wanafanya kazi serikalini hata kama walisoma shule za serikali wananyimwa mikopo! Kuna matabaka yameshatokeza tayari kwa kupitia HESLB. Wanaonufaika kirahisi na watoto yatima hata kama wazazi wao wameacha mimali kibao! Ajabu sana!
Ushasema Yatima.

Labda vigezo viangaliwe upya. Kwamba kama ni yatima basi tuangalie wazazi wake walimiliki nini enzi za uhai wao. Ambapo inapelekea bureaucracy
 
Mtazamo huu sio mzuri - ndiyo unaoleta matabaka. Kigezo kinapaswa kuangalia maombi ya mtoto husika pia. Mzazi mwenye uwezo hawezi kukubali mwanae akope kama anaelewa ana uwezo wa kumudu hivyo kama wewe ulivyofanya. Kipindi cha awamu ya 4 kiliweka usawa mzuri kwenye hili hasa kwa kuzingatia umuhimu wa fani husika katika jamii. Siku hizi hakuna kitu kama hicho.
Siku hizi wanaangalia kwanza background ya wazazi kipato na shule alizosoma baadae ndio fani..!
 
Miaka mitano hii imeigawanya sana jamii. Ukiwa mfanyakazi Serikalini una nafasi fulani na inakupatia mshahara mzuri basi uliambiwa wewe unatakiwa uishi kama shetani awamu ya tano. Hapo inabidi umlipie feesza chuo mwanao. Mtoto ambaye wazazi wake hawaonekani kuwa na uwezo mzuri kiuchumi wanapata mikopo. Mwanangu yupo chuo - anaona tofauti kati yao - mshahara wangu haujapanda for six years na ninatakiwa nilipe fees za wanangu wa chuo. Before kila mwaka mshahara ulikuwa ukipanda kidpgo ninapata space ya kufanya top-up mkopo benki maisha yanaendelea. Kiukweli kabisaa Mkopo wa HESLB anapaswa akopeshwe mwanangu kwa sababu yeye ndiye atakuja kulipa inakuwaje vigezo vya kukopeshwa yeye vinawekwa kwangu ambaye sitakuja kumipia huo mkopo. HESLB ya ajabu sana. Wanangu walipofikisha miaka 18 wakatolewa kwenye bima ya afya ya NHIF - Ajabu ingine! Uwalipie bando la NHIF, uwalipie fees wakati angalau hata mikopo ya tuition fees basi wangekopeshwa. Mwanangu mmoja ananiambia mimi ikitokea ninakuja kuwa Mtendaji Mkuu wa HESLB makato ya mikopo itakuwa ni 20% - ya mishahara yao kwani anajisikia uchungu sana wenzao wanaopata mikopo wanavyosoma bila mawazo. Anafikiria na kuwaza sana baba pamoja na ajira yake serikalini inabidi aendeshe uber ili niweze kuwalipia wao fee simply kwa kuwa eti mimi ninafanya kazi serikalini kwa cheo cha afisa msaidizi mkuuu wao wamekosa mkopo. Nchi hii tumelazimishwa matabaka! Hatukuwa hivi!
Well said
 
Background ya wazazi inatatiza sana sana!
Ndio wanaangalia shule alizosoma. Nadhani hiki ndio kigezo kikubwa. Kama wazazi ni wafanyabiashara ya mabilioni lakini kasoma shule za serikali huyo anapata plus amechukua fani za science ndio kabisaa
Kazi za wazazi wengi wanadanganya.
Wengine huua hata wazazi wao...
 
Watoto wenyewe ndio hao wakihitimu wanatukana serikali na viongozi wake na wengine wakiwa Bado chuo wanatukana viongozi, ndio hao unawazungumzia mkuu siyo??

Walipieni, viongozi nao wanadamu kama zao, kuna wakati nao hujiskia vibaya
 
Back
Top Bottom