Elections 2010 Awamu ya Kwanza Kampeni ya Dr. Slaa kuelekea Ikulu


Hapo ndugu yangu unapotea maana mimi binafsi nimesimamia uchaguzi na sikuona hilo nililoliona ni kura nyingi kwa CCM.Na mfumo wa upigaji kura sasa hivi ni tofauti maana kura zinahesabiwa vituoni mbele ya mawakala wa vyama vyote.Zinazopelekwa Katani ni figures na mabox ya kura zilizofungwa. Hapo hakuna wizi kwa sababu matokeo yanakuwa kuanzia kwenye kituo cha kupigia kura mpaka juu.Tusilaumuvitu ambavyo havipo.
 
Dr Slaa anatisha! Ni kama vile amekwishashinda uchaguzi... Sasa ni wazi upepo wa siasa umegeuka Tanzania. Tutegemee mabadiliko ya uongozi na chama tawala mwaka huu.
 


Na hiyo ndo rushwa nyingine na ni njia mojawapo ya kuimarisha ufisadi na kuupanda kwenye mioyo ya Watanzania; usione ajabu Watanzania kuja na misemo ya ajabu ajabu kama vule; "hapendwi mtu, ni pochi tu, nk, nk".

I HATE THIS BEHAVIOUR YA KUDANGANYA-DANGAYA WATANZANIA WAKATI WAO WANANYONYA DAMU ZETU HATA NA WATOTO WETU AMBAO HAWAJAZALIWA!
 
Eee MUngu ibariki Tanzania yetu, weka mkono wako wenye nguvu juu ya watawala, hao wanaotafuta nafasi ya kutuongoza, tunaomba utume malaika wako walinzi waizunguke masanduku yote ya kura kusiwe na uwizi wa aina yoyote, maana uwizi si asili yako e mungu wetu, wapofushe wenye nia mbaya ya kutaka kubadilisha matokeo ya kura ili haki iweze kudendeka, Eee mungu tuhurumie sie wa Tanzania tumenyonywa vyakutosha, tumenyanyaswa vyakutosha, tumepigika vya kutosha, fungua akili zetu baba tuweze kutambua, kila kitu ndani ya nchi yetu kimebinafsishwa, lakini hatuoni matunda ya ubinafsishaji huo, kilicho baki nikubinafsishwa roho na watoto wetu, Eee mungu tunusuru na hili,
Mungu mwinue mtumishi wako Dr Wilbrod Slaa kama ulivyo mwinua Daudi kutoka mchanga kondoo hadi kwenye kiti cha ufalme. Amen

Watanzania hatuna chuki na kiongozi yeyote, ila tunaomba pia nawao waheshimu maamuzi yetu, haiwezekani sisi tumchague mtu serikali ituwekee huyu, basi awaongoze hao waliomweka.

hivi kuna haja gani ya kuwa na vyama vingi vya siasa kama chama kimoja ndo king'ang'anie uongozi, hawaoni hata nchi za wenzetu wanaotusaidia pesa za kuiongoza nchi wanafanyaje! ila shida iko kwetu wananchi,kwanini hatushangai kwanini viongozi hao wasiasa wakati uchagizi ukikaribia wanakuwa wako karibu na wananchi lakini akisha pata kura yako, basi hata kukuita mbayuwayu haoni shida, hatakama unashida ya kufa hauwezi kumwona, na ukijitahidi kumwona jibu atakalo kupa utatamani umwambie nirudishie kura yangu! hivi usipo chafuka utajifutaje? mwaka huu tuchague chama kingine kituongoze ila siyo ccm, waache wajifunze kuheshimu watu,
 
hata kama unasema hayo hatudanganyiki sasa tunaitaji maisha bora na makazi bora kura zetu kwa DR Slaa
 

Hii safi sana nimeona picha vizuri make kwa michuziblog yeye anaweka picha za wapinzani ambazo zimepigiwa upande ambao hauna watu sana kuonyesha kuwa wapinzani hawapati watu kama picha za kikwete zinavyoonyeshwa, usanii mtupu
 
Mwaka huu ninavyoona hali, lazima Dr. Slaa atashinda. Ili umafia wa CCM uweze kumtangaza JK kuwa ameshinda, wafuatao watapiga kura:-
1. wanajeshi
2. Polisi
3. FFU
4. Wafungwa

Maana kwa hali ya kawaida haiwezekani kufikia hata 20% ya kura zote Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Dr. Slaa😛layball:
 
Hii safi sana nimeona picha vizuri make kwa michuziblog yeye anaweka picha za wapinzani ambazo zimepigiwa upande ambao hauna watu sana kuonyesha kuwa wapinzani hawapati watu kama picha za kikwete zinavyoonyeshwa, usanii mtupu


Hata TBC jioni ya leo wameonyesha picha za kampeni ya dr wa ukweli, Slaa akihutubia watu kiduchu huko Mwanza. Jamaa zangu nilioketi nao, ambao bado hawajaushitukia usanii wa TBC wakasema ah! Slaa hajapata watu wengi huko Mwanza.

Ilibidi niwape shule kidogo.
 
Wafungwa wana akili. Wakipelekwa kupiga kura watampigia Dr. Slaa kwa sirisiri.
 
buhaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaa kweli maji shingonii
 
Wafungwa wana akili. Wakipelekwa kupiga kura watampigia Dr. Slaa kwa sirisiri.

Go Slaa, go
ila nina hofu na mabango ya CCM kila mahali huku Dar, CCM hawajapitiliza 50 billion, kiwango kilichowekwa na sheria ndogo ndogo za uchaguzi?
 
go slaa go wakuu kweli 2010 watz ha2danganyiki pamoja na porojo zote bado watu nyomi kwenye kampeni mungu wa pofushe wezi wa kuru tumpate rais chaguo letu.
 

Asilimia kubwa ni underage.
 
Go Slaa, go
ila nina hofu na mabango ya CCM kila mahali huku Dar, CCM hawajapitiliza 50 billion, kiwango kilichowekwa na sheria ndogo ndogo za uchaguzi?
Usiwe na wasiwasi na mabango uchaguzi wa Tanzania hauendeshwi kwa mabango, huku kijiji kwangu hadi leo kuna bango la chagua Mkapa limekuwa kama pambo lakini watu wanajua watakayemchagua, baada ya Slaa kuapishwa hayo mabango ya Kikwete yatabaki kama kumbukumbu ya rais mstaafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…