Hapo HAMNA UKWELI WOWOTE!!,Upataji wako wa mkopo unategemea na loans criterias which are openly directed through HESLB,Hazina uhusiano na TCU,Kwa mfano umechagua mzigo wa civil UD,umetemwa mzigo huo huo ukiuchagua Ardhi hata round ya MIA unagongwa loan sawa na wenye sifa wenzanko wa course hiyo hiyoHabar zenu wanajamv,nimeongea na dada flani hv ambayo yuko fld anadai kwamba wanafunz wanaoapply second round ya tcu huwa wanakua katka risk kubwa ya kukosa mkopo.Inakaaje hii wadau? kuna ukwel wowote hapa??
Sio sadakalawe wala nini mi na two yangu MUHAS waniteme second round nitupie UDOM nikose mkopo,nani kasema ukiona umekosa ujue;1.una point za kubahatisha 2.Course uliyochagua haina manufaa SANA kwa taifa
QUOTE]Nina jamaa yangu Alikuwa na point 10 yupo SUA course ambayo mkopo ni priority na alikosa hapo hapo wapo wenye point 15 wamekula mkopo.so cjaona point yako[/
Loans inadepend na CRITERIAS nyingi ikiwamo ufaulu wako:1.uwezo wako nyumbani kifedha 2.shule uliyosoma A Level na O level 3.ulemavu wako na wazazi wako 4.course preferences of the country ,so kupata point 10 kwa jamaa yako ni moja ya vigezo vya kupata loan hence kukosa sio sababu.........NB.PITIA VIZURI WALAKA WA MKOPO WA MWAKA 2013/2014 ndio uje jamvini sawa
msijali sana, kwa watakao omba priority programs wataweza kupata, ila kweli Mungu ni wa Muhmu sana hapa, nakumbuka kwa walioomba loan mwaka 2011, 2nd round walikosa, ila nadhan kama program yako ni priority, ukifka chuo ukafuatilia utaweza kupata. Poleni.
Kuna watu watakuja hapa kujifanya wanajua kila kitu na kuwatisha wenzao, suala la mkopo halihusiani na selection za tcu unapewa kulingana na ulichojaza kwenye form yako na bodi wanazipitia form na kupanga madaraja ya mkopo bila majina ya tcu.
ni kweli lakini majina ya tcu ni lazima ndugu yangu ili wajue umepangwa kozi ipi,ina ada kiasi gani na ni priority au non-priority.
Ni kweli lakini majina ya tcu ni lazima ndugu yangu ili wajue umepangwa kozi ipi,ina ada kiasi gani na ni priority au non-priority.
Tcu nao sio wehu watume majina nusunusu lazima mchakato ukamilike ndo wanatuma.