Tetesi: Awamu ya pili ya kuunga mkono juhudi

Tetesi: Awamu ya pili ya kuunga mkono juhudi

MWITONGO MAARIFA

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2018
Posts
276
Reaction score
1,428
Taarifa zinaeleza kuwa Awamu ya pili ya kuruhusu waliokwenye nyadhifa mbalimbali kuviacha vyama vyao itaanza hivi karibuni ambapo kwa wale watakaoingia katika ngwe hii ni wale wenye sifa za kufanya kazi serikalini/wanaoajirika na baadhi watateuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali nchini.

Lengo linaelezwa kuwa ni kuhakikisha viongozi wengi zaidi kutoka upinzani na hivyo kuwaondolea wanannchi Imani dhidi ya wapinzani.

Hata hivyo Juhudi hizi zinaelezwa kuwa na manufaa makubwa 2020 ambapo fedha kidogo Sana zitatumika kwenye uchaguzi kwani majimbo mengi yanaandaliwa kwa wagombea kupita bila kupingwa na wengine hawatakuwa na upinzani mkubwa Sana hivyo wabunge wa chama chetu hawatatumia nguvu nyingi katika kupiga kampeni.

Mazungumzo yanaendelea kufanikisha mradi huu mkubwa wa kisiasa nchini.
 
kuongozwa na mtemi mbowe inahitaji moyo sana wa uvumilivu na ni mzigo mzito kwa wapenda haki, wacha waende CCM wapate pumziko la faraja. demokrasia ni gharama lakini utemi ni gharama zaidi
 
Uache ubunge uende kufanya kazi serikalini? Wakati kiinua mgongo cha mbunge peke yake ni mshahara wa mtumishi wa umma wa miaka 30 mizima!
Baada ya kustaafu wanakadiria mtumishi ataishi miaka 12 tu..Jitahidi uwe mbunge mkuu
 
Hata wewe ipo siku utaunga mkono juhudi za Serikali ni swala la muda tu.
 
Uache ubunge uende kufanya kazi serikalini? Wakati kiinua mgongo cha mbunge peke yake ni mshahara wa mtumishi wa umma wa miaka 30 mizima!
Who knows na kama wanakupa Mara 3 ya hicho kipindua mgongo?. They have nothing to loose,,by the way something fishy is under construction
 
Demokrasia in pamoja na kuhama chams kimoja kwenda kingine. Raid Magufuli anafanya meengi waliyoyanadi wapinzani hivyo wakitaka kujiunga nae ni sawa kabisa MF. Elimu bure,kudhibiti madini,kupambana na ufisadi,serikali/rais kutokuwa dhaifu,ndege,reli,kutohamisha wazembe nk.
Sasa hivi wapinzani wanavizia vya kukosoa sasa wanapata shida kwakuwa watakosa umaarufu na kuchaguliwa. Ukweli bilawao tusingepata mafanikio haya sasa wajielekeze kusoma zaidi na kubuni vitu vyenyetija ili tuwaamini zaidi. Tatizo wapinzani hawasomi vitu intaneshno wanabaki kukosoa vitu visivyo na mvuto MF. Mikutano ya siasa,biashara zinsanguka bila ya data sahihi. Hats marekani wanafungwa wengi kwa kosa la kukwepa kodi hivyo wafanyabiashara walizoea ujanja kufikia mahali mfanyakazi analipa kodi kubwa kuliko mfanyabiashara milionea!! Waende wanakoenda lkn kodi ni lazima na wizi no mwiko. Tujipambanue vizuri tunataka nini tusiburuzwe na wapinzani ambao kimsingi wengi sio wasomi wazuri na hawajawahi kusimamia hats biashara zao tukaona maajabu wanayoyanadi wanayaweza. Hatuwachukii lakini wasitu brain wash
 
Pesa zinazotumika kwenye huu mradi ni za serikali au za chama?
 
Taarifa zinaeleza kuwa Awamu ya pili ya kuruhusu waliokwenye nyadhifa mbalimbali kuviacha vyama vyao itaanza hivi karibuni ambapo kwa wale watakaoingia katika ngwe hii ni wale wenye sifa za kufanya kazi serikalini/wanaoajirika na baadhi watateuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali nchini.

Lengo linaelezwa kuwa ni kuhakikisha viongozi wengi zaidi kutoka upinzani na hivyo kuwaondolea wanannchi Imani dhidi ya wapinzani.

Hata hivyo Juhudi hizi zinaelezwa kuwa na manufaa makubwa 2020 ambapo fedha kidogo Sana zitatumika kwenye uchaguzi kwani majimbo mengi yanaandaliwa kwa wagombea kupita bila kupingwa na wengine hawatakuwa na upinzani mkubwa Sana hivyo wabunge wa chama chetu hawatatumia nguvu nyingi katika kupiga kampeni.

Mazungumzo yanaendelea kufanikisha mradi huu mkubwa wa kisiasa nchini.
Bongo bila kupigana mtasubiri sana
 
kuongozwa na mtemi mbowe inahitaji moyo sana wa uvumilivu na ni mzigo mzito kwa wapenda haki, wacha waende CCM wapate pumziko la faraja. demokrasia ni gharama lakini utemi ni gharama zaidi
Hawaoni hilo ndani ya Chadema !
Wamelishwa limbwata.
Mbowe ameshachanganyikiwa siku nyingi sana tangu 2015 walipokosa urais.
Anasema yeye anakubalika laikini hataki kugombea Urais ili awe Rais anataka uenyekiti tu mana hauna kupigiwa kura anapita bila kupingwa.
Serikali na CCM imebuni mbinu hiyo hiyo ya kupita bila kupingwa. Wamemuiga Mbowe na wanajua hana uhalali wa kupambana kufa na kupona kupigania haki za kisheria za Chama Chake.
Chama kinadhulumiwa mchana kweupe halafu anakimbilia ulaya kulia .

Angekua ni Mwenyekiti Mpya kama Heche,Lisu, Juma Mwalimu, Msigwa ,Sugu Lema, Komu,Kubenea, Wenje, Esta Matiku,Halima Mdee, wangepambana na wananchi wangewaunga mkono mana wanauhalali wakudai demokrasia lakini sio Mbowe.
 
Back
Top Bottom