jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Sinema na maigizo kwa mujibu wa mwenyekiti wenuHizi za sinema na maigizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sinema na maigizo kwa mujibu wa mwenyekiti wenuHizi za sinema na maigizo?
Umejaliwa ujinga mtakatifukuongozwa na mtemi mbowe inahitaji moyo sana wa uvumilivu na ni mzigo mzito kwa wapenda haki, wacha waende CCM wapate pumziko la faraja. demokrasia ni gharama lakini utemi ni gharama zaidi
Turnover 2020?Mazungumzo yanaendelea kufanikisha mradi huu mkubwa wa kisiasa nchini.
Wanamlipa anachostahili na ajira wanampa kwani nani atawazuia ili hali hela ziko mikononi mwao?Uache ubunge uende kufanya kazi serikalini? Wakati kiinua mgongo cha mbunge peke yake ni mshahara wa mtumishi wa umma wa miaka 30 mizima!
Kwani ushawahi chagua kuukubali utawala wa awamu ya ngapi?Tuliochagua kuukataa moja kwa moja utawala huu wa awamu ya tano hatujawahi kukosea na kamwe hatuna cha kujutia.
Du! Nawe umechangia thread!!kuongozwa na mtemi mbowe inahitaji moyo sana wa uvumilivu na ni mzigo mzito kwa wapenda haki, wacha waende CCM wapate pumziko la faraja. demokrasia ni gharama lakini utemi ni gharama zaidi
Ujinga ni mzigo kabisa. Na mpo ambao mmeukubali mzigo huoHawaoni hilo ndani ya Chadema !
Wamelishwa limbwata.
Mbowe ameshachanganyikiwa siku nyingi sana tangu 2015 walipokosa urais.
Anasema yeye anakubalika laikini hataki kugombea Urais ili awe Rais anataka uenyekiti tu mana hauna kupigiwa kura anapita bila kupingwa.
Serikali na CCM imebuni mbinu hiyo hiyo ya kupita bila kupingwa. Wamemuiga Mbowe na wanajua hana uhalali wa kupambana kufa na kupona kupigania haki za kisheria za Chama Chake.
Chama kinadhulumiwa mchana kweupe halafu anakimbilia ulaya kulia .
Angekua ni Mwenyekiti Mpya kama Heche,Lisu, Juma Mwalimu, Msigwa ,Sugu Lema, Komu,Kubenea, Wenje, Esta Matiku,Halima Mdee, wangepambana na wananchi wangewaunga mkono mana wanauhalali wakudai demokrasia lakini sio Mbowe.
Ni Mbowe tu ndo unamwazia as if hakuna vyama kingine vya upinzani, by the way vipi kichaa jiwe ama yeye hana tatizokuongozwa na mtemi mbowe inahitaji moyo sana wa uvumilivu na ni mzigo mzito kwa wapenda haki, wacha waende CCM wapate pumziko la faraja. demokrasia ni gharama lakini utemi ni gharama zaidi