startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Tukiongea hasira zetu zinapungua ....Kazini kwako ndo mlikuwa hamuongei Na si Kwa wenzako, Mimi Na wenzangu mbona tulikuwa tunaongea Sana Sasa mpaka bosi mwenyewe anachizika?
Alafu fine, sahivi Kwa mujibu wako mnapoiongelea Na serikali Ni Nini umefaidika nacho tofauti Na hawamu Ile?
Ile awamu tulitawaliwa na nyonya damu haswaa. Ukipinga tu unanyakuliwa kama mwewe na hakuna atakayesema fyuu.
Leo hata kama kuna ubadhirifu watu walau wapo huru kuongea na information tunapata.