Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #81
Katisha sanaHarmonize ana hatari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katisha sanaHarmonize ana hatari!
Hivi mwanaume unapata wapi huu muda wa kuanza kufuatilia na kukariri haya maujinga?Lyrics
(Marioo)
Dakika 1440 hunitoki boo
Masaa 24 huondoki tu
Kwenye moyo wangu jenga
Sawa maana kila unapodunda Puuh
Nataja jina lako
Kwenye moyo wangu Ishi
Kila napotaka sema suuh baby
Naiona sura yako
You're my angel Olalalaah
You're my everything
You're my everything
You're my sweetie Talalah
Mi nataka niwe na wewe milele
Don't you go away
Sioni kama ntapata zaidi ya wewe
Don't you go away
Mi nataka niwe na wewe milele
(Harmonize part,)
I know I know I know
Uzuri Uzuri wako unawapa chefu
Wenye chuki na hila
Basi kama rahisi kuwa na shepu
Waka jaribu Mloganzila
Eti nakesha nakuombea
Ndo kisha najiombea
Cause I see this love in the air
And I promise to never share
My baby boo asa mbona
Huniishi hamu
Kutwa kucha nakuongelea
Wewe nakuongelea
And I swear baby sio tu damu
Hata figo ntakutolea
Wewe nakutolea
Mwenzako huko nyuma nshazunguka Sitaki hata kumbuka machungu
Yale si mapenzi vitunguu
Ila baby wewe ulinifuta machungu
Siku ukienda Utaniua mende
Kwa bonge la rungu
Don't you go away
Sioni kama ntapata zaidi ya wewe
Don't you go away
Mi nataka niwe na wewe milele
Don't you go away
Sioni kama ntapata zaidi ya wewe
Don't you go away
Mi nataka niwe na wewe milele
Mmmmmh????!!!Hawawezi kukuelewa mwaya, tuliopo penzini tunajua.
Sasa hivi nang’aa kama habibty kutoka Oman kwa amani na raha anazonipea kaka mzuri 😜🫶🏽
Icheki na hii kali.On repeat for 3 days now[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
We blood imbecile, Sina hizi shughuli.Hivi mwanaume unapata wapi huu muda wa kuanza kufuatilia na kukariri haya maujinga?
Huna shughuli za kufanya?
kwa hiyo kutokea tanga had msata ndio wazee? wasambaa ngoja wakuvamieMjini uzee mwisho msata 😃🤣
Sitaki ugomvi 😃kwa hiyo kutokea tanga had msata ndio wazee? wasambaa ngoja wakuvamie
Kama kang'aa kwaajili ya penzi huo mng'ao ni wa muda tuMwanaume akishakuwa penzini anang'aa kweli....Marioo[emoji12]
Ndo nani mkuu🙄😄Baba jeni 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio nyimbo tu Hata kwenye kuchagua totoz naenda na harmonize
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mwanaume unapata wapi huu muda wa kuanza kufuatilia na kukariri haya maujinga?
Huna shughuli za kufanya?
Mkuu unajuaje kua hana shughuli ya kufanya? pengine hiyo ndio shughuli yake,au unataka kusema kuimba au kua kwenye music indusries sio shughuli kama shughuli zingine?Hivi mwanaume unapata wapi huu muda wa kuanza kufuatilia na kukariri haya maujinga?
Huna shughuli za kufanya?
Nyikbo Kali Sana, sema kasikikize labda "nisi ulizwe ya jux."Sijawahi kuielewa hii nyimbo