Away by Marioo ft Harmonize 🔥🔥🔥

Away by Marioo ft Harmonize 🔥🔥🔥

Lyrics
(Marioo)
Dakika 1440 hunitoki boo

Masaa 24 huondoki tu

Kwenye moyo wangu jenga

Sawa maana kila unapodunda Puuh

Nataja jina lako

Kwenye moyo wangu Ishi

Kila napotaka sema suuh baby

Naiona sura yako

You're my angel Olalalaah

You're my everything

You're my everything

You're my sweetie Talalah

Mi nataka niwe na wewe milele


Don't you go away

Sioni kama ntapata zaidi ya wewe

Don't you go away

Mi nataka niwe na wewe milele

(Harmonize part,)

I know I know I know

Uzuri Uzuri wako unawapa chefu

Wenye chuki na hila

Basi kama rahisi kuwa na shepu

Waka jaribu Mloganzila

Eti nakesha nakuombea

Ndo kisha najiombea

Cause I see this love in the air

And I promise to never share

My baby boo asa mbona

Huniishi hamu

Kutwa kucha nakuongelea

Wewe nakuongelea

And I swear baby sio tu damu

Hata figo ntakutolea

Wewe nakutolea

Mwenzako huko nyuma nshazunguka Sitaki hata kumbuka machungu

Yale si mapenzi vitunguu

Ila baby wewe ulinifuta machungu

Siku ukienda Utaniua mende

Kwa bonge la rungu



Don't you go away

Sioni kama ntapata zaidi ya wewe

Don't you go away

Mi nataka niwe na wewe milele

Don't you go away

Sioni kama ntapata zaidi ya wewe

Don't you go away

Mi nataka niwe na wewe milele
Hivi mwanaume unapata wapi huu muda wa kuanza kufuatilia na kukariri haya maujinga?

Huna shughuli za kufanya?
 
On repeat for 3 days now[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Icheki na hii kali.
Screenshot_20240115-021653_1.jpg
 
Back
Top Bottom