Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kwahiyo huduma ya maji tunapewa kama hisani, yaani tunabembeleza kupatiwa huduma bora na stahiki!
Kwamba kupata maji siku za sikukuu na weekend ni mpaka maelekezo yatoke kwa Rais?

Kwahivyo huo mradi hautakuwa unajitosheleza, maji yatakuwa yanakatika kama kawaida?
Kupata mijadala ya uchaguzi mikoa yote Tanzania soma hapa Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mtuambie ukweli tuna maji kiasi gani tujiandae kisaikolojia!
Miaka 60+ plus bado tunaongelea mambo ya kumtua 'mama' ndoo, aroo CCM mnasehemu yenu mahususi kule kwa shetani wanamsemaga (kama yupo kweli).
Aweso amesema amepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia akisema ni marufuku hasa kwa watendaji wa huduma ya maji kuwa ni marufuku kwa wananchi wa Mwanga, Same kukatiwa maji vipindi vya sikukuu pamoja na weekend, waache wananchi wainjoy huduma ya maji safi!
Kuua soo Rais Samia amekuja kusema maji yatakuwa yanapatikana kila siku, eti hivyo ndivyo alivyoambiwa kama haitakuwa hivyo aambiwe ili ashughulike na Waziri!
Sasa Aweso Wizara ya Maji ni Rais gani aliyekupa maelekezo wananchi wasikatiwe maji siku za sikukuu na weekend wakati Rais kaambiwa maji yanatoka 24/7?
Pia soma LIVE - Rais Samia azindua Mradi wa Maji Same-Mwanga-Korogwe Machi 9, 2025
Kwahiyo huduma ya maji tunapewa kama hisani, yaani tunabembeleza kupatiwa huduma bora na stahiki!
Kwamba kupata maji siku za sikukuu na weekend ni mpaka maelekezo yatoke kwa Rais?


Kwahivyo huo mradi hautakuwa unajitosheleza, maji yatakuwa yanakatika kama kawaida?
Kupata mijadala ya uchaguzi mikoa yote Tanzania soma hapa Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mtuambie ukweli tuna maji kiasi gani tujiandae kisaikolojia!
Miaka 60+ plus bado tunaongelea mambo ya kumtua 'mama' ndoo, aroo CCM mnasehemu yenu mahususi kule kwa shetani wanamsemaga (kama yupo kweli).
Aweso amesema amepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia akisema ni marufuku hasa kwa watendaji wa huduma ya maji kuwa ni marufuku kwa wananchi wa Mwanga, Same kukatiwa maji vipindi vya sikukuu pamoja na weekend, waache wananchi wainjoy huduma ya maji safi!
Kuua soo Rais Samia amekuja kusema maji yatakuwa yanapatikana kila siku, eti hivyo ndivyo alivyoambiwa kama haitakuwa hivyo aambiwe ili ashughulike na Waziri!

Sasa Aweso Wizara ya Maji ni Rais gani aliyekupa maelekezo wananchi wasikatiwe maji siku za sikukuu na weekend wakati Rais kaambiwa maji yanatoka 24/7?