Unafananisha mlima na kichuguu!Unamfahamu vizuri Antoine au umesikiliza wimbo mmoja ndo unamfananisha na mpiga ngoma?labda ungemuweka kundi moja na Wazekwa,JB,Papa Wemba,Emmanuel Ngiama Makanda aka werrason ungepata mpambanowa nguvu
hapo ni kwa uliowataja. felix nzekwa tu ndio level ya awilo mpiga ngoma wa zamani wa Loketo na Sokous Star
hapo ni kwa uliowataja. felix nzekwa tu ndio level ya awilo mpiga ngoma wa zamani wa Loketo na Sokous Star