Atakuwa mmakonde huyu khaa! Hii kiboko
Sio muha?Wamakonde tumemkataa, atakuwa Mpare huyo
Huyu jamaa atawasumbua sana.Hii picha aliipost tangu july huko, mawasiliano ya dada Sheila hayo hebu cheki nae, halafu ni California sio LA, AY bado hajapatikana jitihada zinaendelea,View attachment 950542View attachment 950544View attachment 950545
Maana hiyo nyumba bei yake tu loo,kuna vijumba vibaya vibaya bei kubwa balaa sembuse ya hivyo hata mi siamini kwa kweliMimi kutokua na kitu sio haki ya wewe au AY kudanganya!
Majitu maongo ni bure sana!
Yako iko wapi dada? Acha wivu ni sumu utakufaNyumba au apartment?
AY huyu mwanamke wa Kinyarwanda nadhani anamshinda nguvu!
Chezea Tutsi ni high maintenance women...
AY na jumba United States of America wapi na wapi?
Hajui uwongo wake unaweza kubumburuka fasta maana everything kipo online?
Kiki za kizamani sana hizi!
Eti mwanamziki TAJIRI,what a joke!
Ay kaongopa,wewe ndo mkweli!case closed!umefurahi sasa?Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Ngoja Trump amsikie, American Embassy mkuje huku kuna illegal aliens
Ahahaaah.Mtahangaika sana ila ni ukweli usio na chenga AY amenunua nyumba L.A California! Amepata wapi pesa? Huo ni wivu wa kike coz yeye mwenyewe ndio anajua
Kwa hiyo ulitaka nisome comments zote ndo nianze kucoment .??Jaribu kusoma mtiririko wa mjadala kabla ya kucomment maana unaweza uliza jambo ambalo limeshatolewa ufafanuzi.
Hiyo ishu ya Iyunga amekili alikosea ni Ifunda Tech na kasoma na rafiki yake.
Kesi haifungwi hapa kwa nini atudanganye!?Ay kaongopa,wewe ndo mkweli!case closed!umefurahi sasa?
We nae unachekesha kweli, sasa nani ampe address AY yupo humu? mfateni alipo awape hiyo address sasa, mmekazana kadanganya ajabu ukweli wenu hamuuweki, hebu acha kunichekesha mie.Huyu jamaa atawasumbua sana.
Jitahidini mpate hiyo physical address ya Nyumba ya AY.
Mpaka sasa sijaona uajabu au uhater wa jamaa.
Sanasana anaongea anachokiamini na anachokifahamu,pia hakuna jambo la uongo aliloongea.
Pia inaonesha anaufahamu mkubwa sana na maisha ya USA,tofauti na wengi ambao wanaongea tu.
Nilichokugundua huyu jamaa sio mtu wa kukubali kila anachokisikia kama Watanzania wengi tulivyo.
Pia sio mnafiki,nyeusi anaiita nyeusi na nyeupe anaiita nyeupe,kwa Mtanzania maisha bila unafiki hayaendi ndio maana jamaa anaonekana mtu wa ajabu.
Jamaa hamchukii ay Bali amechukia uongo Wa baadhi ya wasanii hapa kwetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] kakutoa kijasho!
Ahahaaah!!!We nae unachekesha kweli, sasa nani ampe address AY yupo humu? mfateni alipo awape hiyo address sasa, mmekazana kadanganya ajabu ukweli wenu hamuuweki, hebu acha kunichekesha mie.
Eti huyu jamaa atawasumbua sana,lol
jamaa gani AY?? maana ndio anasumbua akili zenu mpaka mnapata majazba na kuanza kuchambua kila kitu chake ilihali hamumjui ndewe wala sikio.
Ishi maisha yako bro, ukifatilia ya mwenzio utalala mlango wazi, mjini kulala na njaa umependa na sio kila mishe uiweke wazi.
Imeanza baada ya hizi timu timu kukua huko Instagram. Ni ujinga uliotukukaAhahaaah.
Hivi hii kasumba ya mtu ukionekana kukosoa msanii kwa jambo fulani basi unaonekana ni hater imeanza lini?
Lol, mwanaume kusubiri mwanaume mwenzio akutajie mali zake nao ni umama...Ahahaaah!!!
Nafikiri tunachekeshana aisee!
Ila ni wewe uliyesema jitihada zinafanyika za kumtafuta AY.
Au hizo jitihada zinazofanyika ni za namna gani?
Hapa unasema AY hajapatikana,jitihada zinaendelea.Hii picha aliipost tangu july huko, mawasiliano ya dada Sheila hayo hebu cheki nae, halafu ni California sio LA, AY bado hajapatikana jitihada zinaendelea,View attachment 950542View attachment 950544View attachment 950545