AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Lol, mwanaume kusubiri mwanaume mwenzio akutajie mali zake nao ni umama...

Hebu fata ushauri wangu ule lil bro.
Dooh.
Yamekua hayo tena!?
Haya bhana, ngoja nikuache.
Coz siwezi kukubali unidhalilishe kwasababu ya nyumba ya AY Marekani.
Endelea na uliyekua unabishana nae.
 
Yaani siku hizi ni uongo uongo tu kwenye hii wanaita industry ya Muziki. Utasikia Madee amnunulia dogo janja gari la mil. 18, Mara harmonize ampa shilole gari la mil. 20 kwenye birthday yake, Mara ney Wa mitego anamiliki gari za kifahari 4 na mijengo 7 ya hatari hapa jijini Dar es salaam. Hapo ulipo jaribu tu kuandika kwenye Google nyumba ya Ali Kiba au harmonize uone mijengo utayoletewa ili hali wahusika wenyewe wanaishi kwenye nyumba za kupanga na wazazi wao wanaishi kwenye nyumba za kawaida tu saa myingine hata kukarabati mziki. Sasa unajiuliza huyu mtu ana uwezo Wa kumpa mil 20 mtu kama zawadi lakini home kwa wazaz ni ungaunga. Sasa sijui ndio kukua kwa Muziki wenyewe ndio maana na uongo unakua!?
 
Ishi maisha yako bro, ukifatilia ya mwenzio utalala mlango wazi, mjini kulala na njaa umependa na sio kila mishe uiweke wazi.
Ushauri mzuri, ila ushauri huu ungemfimishia mmiliki wa JF.
Inabidi afute ili jukwaa,kwasababu ili jukwaa linafanya watu wafuatilie habari za maisha ya watu maarufu ndani na nje ya nchi.
Au labda kama haujui maana ya hili jukwaa.
 
Hapa unasema AY hajapatikana,jitihada zinaendelea.
Alafu unamshangaa mtu anayekuuliza kuhusu physical address ya nyumba,wakati ni wewe mwenyewe umesema unafanya jitihada za kumtafuta AY.
Kwangu AY kuwa na nyumba Marekani wala sio big deal.
Nimevutiwa na hii convo yenu na mtu anayetaka uthibitisho,so najaribu kufuatilia nione mtaishia wapi.
Ndio maana nimekuambia wewe unayesema jitihada za kumtafuta AY zinafanyika,basi kweli zifanyike hiyo physical address ya nyumba ya AY ipatikane.
Wewe ndio unayebishania hili jambo,sio mimi.
Na AY akupe address yake ili tu akuridhishe wewe kwa lipi sasa, kwa ubishi wa huyo jamaa hata akipewa address na kuthibitisha bado atahoji pesa kapata wapi maana kama kishaanza kuzichambua biashara zake sio ajabu.....

Kama umefatilia kweli convos zetu utaona kwanini nilimwambia kua nafanya mawasiliano na AY, (sikua serious).
 
Ushauri mzuri, ila ushauri huu ungemfimishia mmiliki wa JF.
Inabidi afute ili jukwaa,kwasababu ili jukwaa linafanya watu wafuatilie habari za maisha ya watu maarufu ndani na nje ya nchi.
Au labda kama haujui maana ya hili jukwaa.
Raha ya kufatilia maisha ya mtu uwe unamfatilia yeye na sio ufatilie kupitia wengine, sasa unataka wana jf wakupe address ya nyumba ya AY, seriously??

Jukwaa lipo mahala pake ndio maana habari mbalimbali huletwa na watu tunachangia kama hivi ila wachangiaji wachache ndio hufanya mambo kinyumenyume.

Uongo, Uongo, Uongo je UKWELI wako uko wapi??
 
Dooh.
Yamekua hayo tena!?
Haya bhana, ngoja nikuache.
Coz siwezi kukubali unidhalilishe kwasababu ya nyumba ya AY Marekani.
Endelea na uliyekua unabishana nae.
Sorry, sikumaanisha kukudhalilisha ila unaweza kujihisi umedhalilishwa kwa sababu ya kujidhalilisha, lol.

Karibu kifungua kinywa [emoji477][emoji501]
 
Raha ya kufatilia maisha ya mtu uwe unamfatilia yeye na sio ufatilie kupitia wengine, sasa unataka wana jf wakupe address ya nyumba ya AY, seriously??

Jukwaa lipo mahala pake ndio maana habari mbalimbali huletwa na watu tunachangia kama hivi ila wachangiaji wachache ndio hufanya mambo kinyumenyume.

Uongo, Uongo, Uongo je UKWELI wako uko wapi??
Ahahaaah.
Kwahiyo hii ya kuomba physical address ya nyumba ya AY hapa JF ndio imekushangaza?
Hayo mambo ya kinyumenyume unayosema wewe ni yapi?
Na unajuaje kama ni ya kinyumenyume?
Nini kinachokufanya uamini wewe uko sahihi kuliko hao wachache?
 
Sina bifu nae as an Individual..

He is a very good rapper...I like his music..

Ila kutoka public na kuanza KUDANGANYA umma hapo ndio kaniboa kabisa!

Kama mziki umemshinda yanini na kiki za kusema UONGO namna hii kama Hamorapa?

Kibaya zaidi he is very old for these types of stupid games,hizi ni size ya Hamorapa not him...It makes him really look stupid below retard line!
CERTIFIED PUBLIC HATER

heheheh
 
Nimetukana sababu watu wazima wanaposema UONGO ni shame!

Ilikua hakuna haja ya AY kusema UONGO like this,for what hasa?Ili iweje hasa?Ku-push mziki wake?

Rubbish!

Eti huwezi kujua pesa ya mtu,ni kweli ila UONGO unajulikana,hakuna watoto wadogo hapa!

Please do not insult our intelliegence,we are offended by these horrendous LIES!
Umekazania "uongo" utadhani wewe huwa unasema ukweli kila siku kila dakika

Hio ID yako tu ni uongo tosha kwanini usitumie jina lako halisi tukujue

Achana na jamaa fanya maisha yako

Usnitch haulipi halafu usnitch was ishu zisizokuhusu na usizokuwa na uhakika nazo.

Unamwonea jamaa kisa ni bongo artist wala hujui Chanel zake za mitongo yaani MTU baki unaleta ubishiii
 
Hajanunua nyumba LA mzee...

Tukaenda na numbers,tukajua he can never afford that..

Mkatumia kesi yao na Tigo labda kapatia hela mle,tukaenda na numbers bado ika-prove he will never afford a house in LA!

Biashara zake,so far ni event management alizofanya na clouds,na mgao wake sasa..numbers zikakataa kabisa!

Biashara zake zingine?Ni very low level businesses za kuokoteza senti hapa na pale..Eti boti za kubeba watu kutoka Jangwani Mbezi Beach kwenda Mbudya,brother zile ni boti au mitumbwi?Na anaokota hela za nauli kiasi gani?You people are on cocaine kabisa!
Eti mitumbwi jamaa unadharau sana .

Si ajabu unakula kwa mama au shemeji halafu unaleta dharau hivyo
 
Umekazania "uongo" utadhani wewe huwa unasema ukweli kila siku kila dakika
Umetoa outlandish claims unamiliki mali kadhaa,onesha umiliki wako.Hutaki,then nina haki kabisa ya kusema ni UONGO!..Sasa sijui kwanini mtu aki-exercise haki yake halali wewe inakuuma nini?Una pepo?

Hio ID yako tu ni uongo tosha kwanini usitumie jina lako halisi tukujue
ID yangu ikiwa anonymous haikupi wewe haki ya kudanganya....Afterall,kama umedanganya just own it,sema nimedanganya!Sio unatafuta visingizio!

Wewe mwenyewe ni anonymous,sasa sijui unapata wapi moral authority ya kumkoromea anonymous mwenzio?Are you sick?
 
Eti mitumbwi jamaa unadharau sana .

Si ajabu unakula kwa mama au shemeji halafu unaleta dharau hivyo

Kwahiyo ulivyo na mapepo ya kusema UONGO unataka kutuambia AY anamiliki "YATCH"?

Hivi una haya wewe?

Bei ya smallest second-hand Yatch ni dola 8.4Milioni....Ni Bilioni zaidi ya 16 ya Kitanzania,sasa sijui AY aliuzia wapi matako mpaka kapata hiyo hela?

Muwe mna haya sometimes,wanaume kusema UONGO ni laana!
 
Mkuu unaweza thibitisha ikiwa AY kadanganya? Unajua biashara zake nyingine anazofanya nje ya music industry?
Kumiliki nyumba US isikupe woga, zipo nyumba za bei nafuu ambazo hata wewe mbongo ukiwa na biashara ya kati waweza miliki, usiishie tu kutoa maneno ya kejeli bila uthibitisho.
Mkuu huyu jamaa hawezi kukuelewa mo nahisi kachanganyikiwa na maisha yake mpuuzi kweli kweli
 
Mkuu

Kwa rule of thumb tu kwa jinsi wanapenda sifa hawa watu ungekuta zishawekwa habari kwenye media au hata instagram!

Judgement ni kitu cha wazi,na mahakamani waandishi wa habari wanashinda pale..Na hii ilikua ni high profile case including entertainers,ni juicy news hawawezi ziacha hizi habari!

Another strong point ni kuhusu wasanii wengine,wangekimbia kufungua na wao haya makesi,Tigo wangehama nchi eti!Tigo walitumia nyimbo za wasanii wote kabisa,sema AY na MwanaFA na kile kijamaa wakaamua ku-press charges walijua kuna hela watavuna!

Last time I heard kwenye news ni kua Tigo walikata rufaa!...

Tuseme labda wali-settle out of court,na kumbuka walikua watatu,AY,MwanaFA na Msando...

Na pesa waliyokua wanategemea ni nearly 3 Bilion kama wangeshinda kesi....

Katika settling out of court watakubalia hela ndogo zaidi ya hiyo,lets say 2Bilion..

Wakilipwa ukitoa gharama za kesi,gharama za ma-producers,publishers,etc inaweza baki 1.5Bilion wakagawana 0.5Bilion each....

Haya sasa,kwa milion 500 AY anaweza nunua nyumba ya USD 600,000 katika jiji la Los Angeles USA kweli kama sio uongo mtakatifu huu?
Wamelipwa kimya kimya we fuatilia vizuri.
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Kwani Unateseka mkuu?!? Sio kwa 'Kleensoft' hii
 
Wamelipwa kimya kimya we fuatilia vizuri.

Kimya,kimya?

Siamini hata kidogo..

Na let say wamelipwa kweli.....2.18Bilion TZS gawanya kwa watu watatu ,ondoa kodi,gharama za kesi,etc...AY abakie na chenji ya kuweza kununua jumba la 1.5Bilioni California USA?

Tangu lini ugawanye 2.18Bilion kwa watu watatu then ubakie na 1.5Bilioni?Hivi hawa watu hesabu walisomea chooni?
 
Kimya,kimya?

Siamini hata kidogo..

Na let say wamelipwa kweli.....2.18Bilion TZS gawanya kwa watu watatu ,ondoa kodi,gharama za kesi,etc...AY abakie na chenji ya kuweza kununua jumba la 1.5Bilioni California USA?

Tangu lini ugawanye 2.18Bilion kwa watu watatu then ubakie na 1.5Bilioni?Hivi hawa watu hesabu walisomea chooni?
Mambo ya nyumba anayajua yeye mwenyewe. Maybe ana vyanzo vingine vya mapato pia. Ni siri yake.


Ila malipo wamelipwa.
 
Mambo ya nyumba anayajua yeye mwenyewe. Maybe ana vyanzo vingine vya mapato pia. Ni siri yake.


Ila malipo wamelipwa.

Siri yake kwanini atuletee hapa public?

Ukileta kitu public tuta-demand udhibitisho...kwanini mnakua sio waelewa nyie watu?

Eti siri,siri na bado ukaitoa hadharani?

Outlandish claims need extra ordinary proofs!

Malipo yamelipwa,nikuamini wewe who are you really?..Nipe copy ya hukumu hapa!
 
Back
Top Bottom