Hawajalipwa hata mia....Wangelipwa ingekua ni breaking news TZ nzima!
Walikata rufaa,na inavyokwenda,wanaweza settle outta court au wakashindwa all together!
Tigo wakishindwa ni precedence wanamziki wote watafungua na wao kesi wataifungia Tigo mbali,kuna janja wanacheza ngoma ife!
Hujui unachoongea ww
Hahahahahahaha nimecheka sanaUnaishi Kwenye Chumba Cha Kupanga Mwananyamala Kisiwani Umetoka Kugombana Na Mwenye Nyumba Kuhusu Kodi, Unaingia Jf Unakutana Na Thread Ya Ay Amenunua Nyumba Marekani Lazima Upagawe
mkuu unaweza ukawa una point ila usicheze na clouds media group boss. ruge mutahaba na mwenzake kusaga..
ruge ameishi sana usa na amesoma bachelor degree marekani san diego state university.. analipiwa ada na baba yake prof mutahaba..
kusaga amepiga sana disco enzi zile na ruge ndie anaeleta santuri za nyimbo kutoka usa.. na hata kusaga katembea sana majuu toka kitambo kwa pesa za mzee kusaga... hawa ni wajanja long time agoo.... ay hapo hapajui hata dar.. hawa jamaa wanatembea majuu
ruge na kusaga ni wajanja kitambo toka ay anaimba imba na kina g.k sijui mwana fa. kina ruge washatembea sana.. na hata ay kanyonywa sana na ruge kwa show za laki mbili mbili. hana ujanja ay wa kumzidi ruge
hakuna msanii wa nje alieletwa na a.y wasanii wa nje wameletwa na clouds media group na wajanja ruge na kusaga..
a.y ni kama binti tu mbele ya hivi vichwa viwili..
a.y hana ujanja wa kumzidi ruge
Ay anaishi State now day? Kununua nyumba Marekani ni simple?Sijui ni kutoelewa au ni makusudi, hakuna sehemu rahisi kununua nyumba kama US! It’s not that big of a deal!
AY bado yupo bongo mzee hana nyumba Marekani wala Gongo la Mboto, Ay fix sanaMkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
AY bado yupo bongo mzee hana nyumba Marekani wala Gongo la Mboto, Ay fix sana