Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Kwahiyo unataka kusema kuwa wasanii wote kutoka USA wameletwa na CMG?
Mzee,uliona list aliyoitoa au unaongea tu?Katoa list ya artists walioletwa na CMG!
Na kumbuka tunamuongelea AY..taja alioleta AY kama list unayo!
hata kama una hulka ya kubisha si kila kitu cha kubisha, wapo wasanii kibao from states wamekuja nje ya kivuli cha CMD km maya, jayz na beyonce, omarion, EVE, justin timberlake nk
First off,I think you are lying on something here...Hivi Justin Timberlake has ever touched ardhi ya Tanzania hii kweli?
Clear uongo wa Justin Timberlake,then tuendelee maana yaelekea una emit maneno tu kama bomba la maji!