AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Jibu qn zifuatazo
Ruge na Kusaga walienda US wakiwa watoto?
Je walipokuwa Us watajwa hapo juu walikuwa wakijihusisha na Music Industry?
Hv kwenda US ni bahati?

Walienda wakiwa machalii sana....

Ruge mambo safi,mtoto wa kishua..Kasoma USA college,sasa sijui unabisha nini?

Kusaga ni wa kishua,hilo unaelewa vizuri....

Sijui kwanini una-doubt credibility za hawa watu wawili walikwisha prove decades and decades kwamba wao ndio kings wa entertainment business in TZ...I wonder why?

On top of that,Lemutuz ana proof photo waliyokua wana-hustle USA in those years:

Screenshot 2018-11-29 08.26.24.png


Sasa sijui unataka tumuamini nani hasa?

Wewe?
 
Mngekuwa mnasindikiza haya mapovu na picha eg unaweka picha ya yatch halafu unasema hii ni ya fulani sio ya Ay

Sasa mzee,tuache unafiki kabisa...

Hivi unaweza niambia bila kupepesa macho kabisa kua AY Mhutu wa Rwanda anaeimba bongo fleva ana YATCH?

Hivi unajua YATCH?Usichanganye na kitu kinaitwa MTUMBWI!

Lets get serious here!

Hebu Google "price of the smallest second-hand yatch"...jibu on your face ni 8.4Milion USD .....

Sasa hivi AY jumlisha MwanaFA jumlisha Harmy B jumlisha P Funk,wote put together wauze ass kwa miaka 10 non stop they will NEVER pull this amount of cash!

Hebu tuache unafiki,tuwe wakweli na reasonable tuache haya mahoka!
 
Sasa mzee,tuache unafiki kabisa...

Hivi unaweza niambia bila kupepesa macho kabisa kua AY Mhutu wa Rwanda anaeimba bongo fleva ana YATCH?

Hivi unajua YATCH?Usichanganye na kitu kinaitwa MTUMBWI!

Lets get serious here!

Hebu Google "price of the smallest second-hand yatch"...jibu on your face ni 8.4Milion USD .....

Sasa hivi AY jumlisha MwanaFA jumlisha Harmy B jumlisha P Funk,wote put together wauze ass kwa miaka 10 non stop they will NEVER pull this amount of cash!

Hebu tuache unafiki,tuwe wakweli na reasonable tuache haya mahoka!
Hahaaa! Kumbe hela inapatikana kwa kuuza ass tu sio ku hustle!
 
Sasa mzee,tuache unafiki kabisa...

Hivi unaweza niambia bila kupepesa macho kabisa kua AY Mhutu wa Rwanda anaeimba bongo fleva ana YATCH?

Hivi unajua YATCH?Usichanganye na kitu kinaitwa MTUMBWI!

Lets get serious here!

Hebu Google "price of the smallest second-hand yatch"...jibu on your face ni 8.4Milion USD .....

Sasa hivi AY jumlisha MwanaFA jumlisha Harmy B jumlisha P Funk,wote put together wauze ass kwa miaka 10 non stop they will NEVER pull this amount of cash!

Hebu tuache unafiki,tuwe wakweli na reasonable tuache haya mahoka!
Binafsi namjua Ambwene since anaishi Dom ni mtoto wa kishua sasa sijui wewe umemjulia Dar ama wapi?
 
Binafsi namjua Ambwene since anaishi Dom ni mtoto wa kishua sasa sijui wewe umemjulia Dar ama wapi?
Atakuuliza wewe ni nani ili tukuamini? Kuna sehemu nimemwambia kitambo AY alinunua kiwanja hapa Dar kwa 80M akasema tukuamini wewe, ila yeye akisema sijui mshkaji wake alishakufa na alikuwa mwanae sana AY sisi hatubishi tunajua its possible, jamaa anaumwa u "GeneAss"[emoji23][emoji23][emoji2]
 
Niliwaambia jamaa anajua kutathmini kila biashara,naona sasa anaongelea thamani ya amber rutty ngapi zitanunua Yatch.
Apewe kilo mbili zake za korosho arudishe carolies alizo choma kwenye hii thread
 
Mkuu kama hufahamu kitu bora upige kimya. Baada ya hukumu hiyo walifungua kesi ya kuexecute hiyo hukumu ambapo walipewa muda tigo iwalipe otherwise washikirie mali zao na kuzipga mnada.
Anyway kama we waona haiwezeknai its up to you ila ninachoandika nina hakika nacho 100%.
FA angekuwa alilipwa asingekuwa Mdangaji mjini hapa....... Eti tigo imlipe Bilion hahah c'moon nigger
 
Marekani wanakataa maskini kama una ela yako ya kwenda ukanunua nyumba mbona wanakupokea tu.... Marekani ni sehemu rahisi sana kuingia as long as una pesa kitu amabcho hawataki ni maskini kwenda kuongeza umaskini kule. In really sense hakuna nchi ambayo imeendelea inayokataa wanaohamia wenye pesa, Denmark mwaka huu walikuwa wanataka wahamiaji ili mradi uwe na ela isiyopungua dollar 60,000 kwa ajili ya makazi.
Huwezi kununua nyumba Marekani kizembe namna hiyo, Le Mutuz kaishi state miaka 30 na alikuwa analipwa hela ambayo angeweza kununua nyumba lakini hajawahi kwanza kupata huo uraia sembuse, huyu mnuka samaki wa feri kwenda kununua nyumba state ahhahha C'moon niggar... Huu ni uwongo wa kitoto
 
Kimya,kimya?

Siamini hata kidogo..

Na let say wamelipwa kweli.....2.18Bilion TZS gawanya kwa watu watatu ,ondoa kodi,gharama za kesi,etc...AY abakie na chenji ya kuweza kununua jumba la 1.5Bilioni California USA?

Tangu lini ugawanye 2.18Bilion kwa watu watatu then ubakie na 1.5Bilioni?Hivi hawa watu hesabu walisomea chooni?
Mkuu umesimamia ukucha mpak kieleweke.....hawa wasanii wanatuoshea sana mtaa....Diamond tu ndo yupo open na kweli mkwanja anamake sana..lakn hawa akina AY waache mikwara
 
Mkuu umesimamia ukucha mpak kieleweke.....hawa wasanii wanatuoshea sana mtaa....Diamond tu ndo yupo open na kweli mkwanja anamake sana..lakn hawa akina AY waache mikwara

Mkuu

Diamond is the all time hottest thing ever in TZ!

He is unquestionably a proven mogul with proven businesses AY will never have, even if he sells his butthole for the rest of his life!

It is too bad AY is trying to generate a false persona of a 'rich mogul' Jay-Z-type using LIES!

Too bad he is too old now,40yrs if not more!

What an old man can do in a youngman's game like music?Nothing!

Too bad whatever music he's putting out now,rafiki yake MwanaFA can shut him down any day of the week kwasababu he's more talented than him left and right!

Too bad his wife is not Beyonce,he cant pull mikato ya Jay-Z!

Too bad he's not hot musically anymore,nobody cares what garbages he's putting out!

Too bad he is a serial LIER!

What a loss!
 
Huwezi kununua nyumba Marekani kizembe namna hiyo, Le Mutuz kaishi state miaka 30 na alikuwa analipwa hela ambayo angeweza kununua nyumba lakini hajawahi kwanza kupata huo uraia sembuse, huyu mnuka samaki wa feri kwenda kununua nyumba state ahhahha C'moon niggar... Huu ni uwongo wa kitoto
Lemutuz nae ni mtu?
 
Ku-maintain mwanamke wa kinyarwanda ujipange. Pale Kigali kumpata wa show tu kuanzia 100usd
 
Ukitaka uenjoy argument za Wyatt mkute kwenye uzi unamuhusu yule kijana wa Forex haha. Binafsi huwa namsoma na kupita kimya kimya tu.

Ya AY na nyumba yake hongera kwake kama kapiga hatua hiyo.
Kyle kwenye forex wajingawajinga ndo aliwakatisha tamaa
 
Sasa mzee,tuache unafiki kabisa...

Hivi unaweza niambia bila kupepesa macho kabisa kua AY Mhutu wa Rwanda anaeimba bongo fleva ana YATCH?

Hivi unajua YATCH?Usichanganye na kitu kinaitwa MTUMBWI!

Lets get serious here!

Hebu Google "price of the smallest second-hand yatch"...jibu on your face ni 8.4Milion USD .....

Sasa hivi AY jumlisha MwanaFA jumlisha Harmy B jumlisha P Funk,wote put together wauze ass kwa miaka 10 non stop they will NEVER pull this amount of cash!

Hebu tuache unafiki,tuwe wakweli na reasonable tuache haya mahoka!
kama wanatrade forex utajuaje
 
Jesus!

Be serious mkuu!

Kuna watu humu JF wana-trade hiyo since day 1 ila njaa mtindo mmoja!

Labda uniambie ni drug dealer....Na drug dealers utawala huu wote wana njaa kali sana pale Kinondoni...That option is 100% closed!

Jeeezzz!
Ha ha haaaaa...100% closed, hatar sana.....naona watetezi wa AY wote wameingia mitini
 
Back
Top Bottom