AY amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Remy aliyeishi nae kwa miaka nane

Sio.mingi kwa umri wa huyu dada maana kwa alivyo sidhani kama amezidi 27 yrs so ukitoa hiyo 8 utakuta 21 ndio alimkamata so wala hakuna la.kushtuka hapo. Maama AY ni mkubwa

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app

Mkuu umeandika nn sasa...hizo namba hizo...duu..hesabu ni nzuri sana wee [emoji3][emoji3]
 
12

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata dalili hawana afu wanashangaa 8yrs [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Reactions: B40
Sasa kama amesha ishi naye miaka 8 pete ya uchumba ya nini,hapo kinachotakiwa ni kuoa tu hiyo stage ya pete ya uchumba wameshaivuka tayari,au mie ndio sielewi...

Miaka nane yaani hapo hata angempiga chini demu alikuwa na haki ya kudai wagawane mali. Maana ameshiriki kuitafuta na ametumika sana.
 
mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Mkuu c booking ni mkopo

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa walishaachana mara kadhaa kila mtu akaenda akamkumbuka mwezake baade kisha wakaamua
 
Hahahahahaaa

Miaka 8

Pyeeee


Ikifika 3 tu walipaswa kuweka kikao cha kujadili hatma....

La aeleweke au la akubali kuchapiwa
Nini kinachowapa ugumu....hao tayari wanandoa..ila tu kubariki ilikua bado.

Hao sio boyfriend na girlfriend..they are husband and wife.l
 
We ndo waleee wa ndoa za mikataba n io haraka yako...

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
miaka mi3 unanimega tu bila kjjitambulisha ,na huna sababu za msingi????

uvumilivu zaidi ya hapo tuwaachie wahenga

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…