AY amuweka wazi mchumba wake

all the best kwao! wifi yetu mash-ALLAH!
 
Mtoto mzuri, bora umechukua yemen huko point five maana wabongo huwa wanapenda wazungu
 
Kwahiyo AY ni mgonjwa?

Na wewe acha kukariri sio wanene wote ni wagonjwa
imkutachi kibonge?
punguza mwili! la-sivyo magonjwa yanayoamabatana na unene yanakuhusu!
unene mwingine ni homone imbalance, etc!
 
twitybird Nimecheka mpaka basi, ila sijui kwa nini umefuta post yako.!!
 
Last edited by a moderator:
Umechagua mwaya dental hata nyani anayo lile like ya lilikuwa km linapuliza moto big up keep it up oa tukuibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…