Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
kunenepa ndio mambo safi? acha kukariri kizamani! unene ni ugonjwa!AY naona mambo safi kanenepa mwenyewe
Mitoto kama hiyo ndo yenyewe
kunenepa ndio mambo safi? acha kukariri kizamani! unene ni ugonjwa!
huyu naye mihela lukuki kurekebisha dental formula hataki...we binti wa yemen atakuharibia watoto huyu
kunenepa ndio mambo safi? acha kukariri kizamani! unene ni ugonjwa!
kunenepa ndio mambo safi? acha kukariri kizamani! unene ni ugonjwa!
imkutachi kibonge?Kwahiyo AY ni mgonjwa?
Na wewe acha kukariri sio wanene wote ni wagonjwa
mpwa kuna watu mahaters sana,eti hamjui ay kwenye picha hapo wakati maelezo yameandkwa kiswahili kabisa.
umechagua wifi bomba...........ndagha fhijo
Dada mzuri sana huyo kaka anajua kuchagua.
AY naona mambo safi kanenepa mwenyewe