AY amuweka wazi mchumba wake

Nyerere yupi unaemuongelea hapa


Hivi kumbe unene ni mambo safi? kwa hio watu wembamba kama akina mohamed dewji nyerere na Obama mambo yao Magumu? Je @maxence?
 
Good couple, African style, wish I could see her back! Ha ha ha I'm kidding, hiyo ni hatua nzuri mzee wa "Hip hop Commercial" we got u on this.
 
mdada amevaa kawaida kapendeza mwenyewe na uzuri aliojaaliwa ndo amenoga balaa......
 
Figure hizi ndo ugonjwa wang,yaani awe mweupe au mweusi
 
Mbona FA hanenepi au ana stress?
 
kiongozi inaonekana haupo update na hizi mambo! Mapenzi yaliisha zamani pengine wakati diamond hata tandale hajulikani.
Hapan bwana yule tulimwacha tukihofia isije ikawa pandikizi la kina Kenyata ,Museveni na Kagame!
 
Jamani nami nataka nimuweke wangu mmuone alivyo,au kwa vile mi sio maarufu siruhusiwi eti!!!!!
 
JF kila jambo lishazungumzwa kumbe huyu aliyetambulishwa leo ni remix.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…