AY amuweka wazi mchumba wake

Demu mkali vile kumaliza nae miaka mitano kwenye ndoa ujue una Mungu.
Angekuwa na access ya kulala na kuamka nae for 6 months tu asingepata hata nguvu ya kumuoa. Tuchunguze wanawake tunaotaka kuwaoa kwa kuwaweka kwenye probation period!

Mwanamke analala na kuamkia kwao utamjuaje kwako anakuja once every weekend on her best behaviours ila kumbe ni kamalaya mbaya mbovu, kavivu hata kufua chupi yake hawezi, hakana time hata kutoa papuchi kila ukitaka ni mtiti,kabishi!
 
Duh na Hawa mademu wazuri wa sura nimegundua ninwabovu sana na wachafu aisee. Hii ni personal level. Unakaa na demu mkali Ila chupi anavaa siku nzima mpaka kesho yake dah.

Anyway ndio maisha. Hawa wanawake wa siku hizi wanatufanya tunatengeneza watoto wanaoishi kwenye mazingira yasiyo ya kifamilia tunaharibu sana jamii Hawa wanawake .
 
Kabisa mke yupo Rwanda baba Marekani unategemea nini? Mtoto lazma awe na tabia za hovyo kama mamaake hana usimamizi
 
[emoji23] Yani AY nae na ujanja wake wote amekimbilia oa slay queen wa Nyaruanda.., kweli pesa sio ujanja hakyanani!

Demu atakuwa alikuwa kimaslahi flani ila hakuwa wife material sema braza alitaka afosi tu sababu ana jiwe[emoji23]
Nina Experience Na wanyarandwa wanapenda maisha ya Juu sana ukiteteleka tu anakukimbia
 
Mambo kwa ground ni difference, mwanamke huwezi kumjua kwa dating!

Angekuwa na access ya kulala na kuamka nae for 6 months tu asingepata hata nguvu ya kumuoa. Tuchunguze wanawake tunaotaka kuwaoa kwa kuwaweka kwenye probation period!
Kabisa mkuu ,Yan baada ya ndoa tuu walikaa kidogo tuu wakaachana ,Demu ni msomi ana Master ya Engineering .sijajua exactly n engineer wa nn ... Sababu ya kuachana pia siijui ..But ukweli n kwamba walipigana chini mapema mnoo ....
 
Wale Ego pia zinawasumbua ... Kila mmoja wao ni kiburi vibaya mnoo ...
 
Yaaah unaweza ukawa na demu cheusi mangala ila mda wote mashine inaoshwa na anaoga. Mfano mm mwanamke anaechibua mwenye marasta mengi nikipeleka pua shingoni nachefukwa na harufu ya micream naona bora nikajipigie nyeto tu.
 
Ila bloo Ay alituangusha sana. Ujanja wote wa town toka miaka hiyo akaenda kuoa Rwanda. Picha linaanza nilipoona kavalishwa yale makanga yakirwanda tu siku ya harusi nikajua tushampoteza. Wanyarwanda hawana uvumilivu kwenye ndoa wale.
Ni Malaya sana na hawajui kuwanyoma wanyarwanda wenzao.
 
kweli, wenye wanawake wazuri mtuombee tu, wakati mwingine una nyimwa mzigo bila sababu ya msingi, unapewa akitaka.. hawasomeki.. ukiwa na backup napo noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…