samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Vipi na wewe unataka umaarufu,uonekane umeniuliza swali ???We tuzo zimekisaidia nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na wewe unataka umaarufu,uonekane umeniuliza swali ???We tuzo zimekisaidia nini??
Nisamehe bure,sikujua kama wewe ni katika wale 1/4.Umeshindwa kuweka link ya hizo tuzo za AEAUSA, MTVMAMA na hata hizo KORA tuone walipoandika malipo ya washindi basi mkuu haina haja ya kuendelea ku-quotiana hapa maana maneno mengi ila unaruka ruka tu
Unaonesha ni jinsi gani umeshindwa kutetea hoja yako so kilichobaki ni kaonesha ujinga wako, kumbuka hapa sio kijiweni kijana usikalili, tatizo mnajifanya mnajua vitu vingi sana kumbe bogus tu.Nisamehe bure,sikujua kama wewe ni katika wale 1/4.
NISAMEHE BURE,UALIMU NI KITU NILICHOKICHUKIA MAISHANI MWANGU NA NINAWAPA HONGERA WALIMU WOTE WA TZ,HASA UKIJUMLISHA NA ILE 1/4 BASI KAZI INAZIDI KUWA NGUMU.Unaonesha ni jinsi gani umeshindwa kutetea hoja yako so kilichobaki ni kaonesha ujinga wako, kumbuka hapa sio kijiweni kijana usikalili, tatizo mnajifanya mnajua vitu vingi sana kumbe bogus tu.
Nimekuelewa zari ze boss ladyNISAMEHE BURE,UALIMU NI KITU NILICHOKICHUKIA MAISHANI MWANGU NA NINAWAPA HONGERA WALIMU WOTE WA TZ,HASA UKIJUMLISHA NA ILE 1/4 BASI KAZI INAZIDI KUWA NGUMU.
Wacha tu iwe hivo,si kwa kichwa hiko. Bila shaka ukipelekwa kwenye vipimo vya ubongo wataona imejaa michanga tu.Unaonesha ni jinsi gani umeshindwa kutetea hoja yako so kilichobaki ni kaonesha ujinga wako, kumbuka hapa sio kijiweni kijana usikalili, tatizo mnajifanya mnajua vitu vingi sana kumbe bogus tu.
Binti mrembo,una maanisha nini hapo kwa mstari.....??Nimekuelewa zari ze boss lady