AY: Hakuna Rapa mkali Tanzania zaidi ya Joh Makini

AY: Hakuna Rapa mkali Tanzania zaidi ya Joh Makini

AY kashapotea, anashauri wenzake wakati mwenyewe kashindwa kufanya anachoshauri...

Tutakuheshimu kama mmoja wa waliosogeza muziki wetu, lakini kwa sasa kubali matokeo.
 
AY kashapotea, anashauri wenzake wakati mwenyewe kashindwa kufanya anachoshauri...

Tutakuheshimu kama mmoja wa waliosogeza muziki wetu, lakini kwa sasa kubali matokeo.

AY ana biashara zake zaidi ya moja,
muziki ukiufanya kama ndiyo kazi pekee utakula nyasi.
 
Ni mkali kwa kujitangaza ila sio kwa kurap, hivyo ndivyo alivyomaanisha
 
Baada ya ZiGo Remix Jamaa simpati hewani tena,
Naona kaanza kuwa Mshauri, safi sana!
Maana Juzi tu kasema Wasanii wawekeze kwa Maproduza, Leo Rapa Mkali Joh Makini!
Ngoja tusubiri kesho atasema nini,
hili Game ni Zito sana,
Muda utasema, Tutaelewana tuu!
Kikubwa tuombeane Uzima.
 
Iceman 3D
Rapa mkali Bongo NI STAMINA tu waliobakia
Wanapiga kelele tu.MoroTown a.k.a mji kasoro NI mkali sanaaaaa
"George anarudi Bush"
"mke wa mtu sumu ila ghetto nina maziwa"

Mistari ya kitoto namna hii ndio imekufanya uamini kuwa jamaa ni mkali kuliko Joh?!
 
Naona wameamua kumuokoa joh makini na hili swala la mbeleko....Nani mwingine kuibuka kumtetea huyu BWANA!!
I love rap music I love it. Na zaidi napenda sana rap/hip hop musician akisimamia kile alichokiamini. As for Joh Makini yule wa "hao" sio huyu wa combo combo....kabadilishwa ili aje na hizi redio tracks....streams songz .....hapo ndio napomtoa kuwa among the best.
Fid Q will stay there coz he never change no matter what.
Je Fid Q wa Fid.com(sisimizi kumuua tembo au nazi kuvunja jiwe) ndio huyu Fid Q wa Hiphop soft 'Walk it off' na 'Sumu'? Au ndio double standard?
 
Mkuu nadhani ww ndio ujamuelewa kama ni hivyo a ngetaja wasanii walioanza na John tu hasingemuweka ngosha maana niwa kitambo sana
Unataka useme ngosha katoka 2006 au hapo hujaelewa nini..?

Anachomaanisha Ay... Tafuta Rappers wote walionza kuwa wasanii wakubwa kuanzia 2006~2017 halafu utaje hata mmija anayemzidi Joh kwa hits na consistency
 
Unataka useme ngosha katoka 2006 au hapo hujaelewa nini..?

Anachomaanisha Ay... Tafuta Rappers wote walionza kuwa wasanii wakubwa kuanzia 2006~2017 halafu utaje hata mmija anayemzidi Joh kwa hits na consistency
Hawaji kujibu maswali... Mimi pia kuna swali nimemuuliza Iceman hapo..
 
Naona wameamua kumuokoa joh makini na hili swala la mbeleko....Nani mwingine kuibuka kumtetea huyu BWANA!!
I love rap music I love it. Na zaidi napenda sana rap/hip hop musician akisimamia kile alichokiamini. As for Joh Makini yule wa "hao" sio huyu wa combo combo....kabadilishwa ili aje na hizi redio tracks....streams songz .....hapo ndio napomtoa kuwa among the best.
Fid Q will stay there coz he never change no matter what.
Comment ya mwaka hii, kula like
 
Je Fid Q wa Fid.com(sisimizi kumuua tembo au nazi kuvunja jiwe) ndio huyu Fid Q wa Hiphop soft 'Walk it off' na 'Sumu'? Au ndio double standard?
Kumfananisha Fid Q na Joh Makini ni sawa na wauza nguo, mmoja anauza famba kariakoo na mwingine ana goli kali la mtumba original, japo wote walianzia kwenye mtumba lakini mmoja akasanda akaingia kwenye kuuza midosho
 
Back
Top Bottom