BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
kijana gani jamani mbona sijaonaWe mtoto si umeambiwa unapendwa..Mbona haumjibu kijana wa watu
Asigwakijana gani jamani mbona sijaona
hahaha kudaadeki hana lolote ngoja nimtafuteAsigwa
Hongera kwa kuutumia vizuri uhuru wa kutoa maoniKumfananisha Fid Q na Joh Makini ni sawa na wauza nguo, mmoja anauza famba kariakoo na mwingine ana goli kali la mtumba original, japo wote walianzia kwenye mtumba lakini mmoja akasanda akaingia kwenye kuuza midosho
MediaAnabebwa na Nani?
Fa anatamba kuanzia 1999 Ila 1)2013 nahis ndio alipotoboa zaidujaelewa mada.
Kasema kuanzia 2006....FA anatamba kwenye game toka mwaka 2003 huko.
2013?!Fa anatamba kuanzia 1999 Ila 1)2013 nahis ndio alipotoboa zaid
Media
Hawawezi sema anabebwaje... Kuna watu wengine wasengerema sana.1.Magazeti,Radio,TV,Youtube,Blogs wanambeba Joh Makini ?
2.Wanambebaje ?
3.Na kwanini wambebe yeye ?
4.Hata wewe kumjadili hapa jukwaani si umembeba?
Ukiona mtu anabebwa ujue ni Pesa hiyoJoh Makini ana bebwa, tuwe wa kweli, japo sina maana kuwa hana uwezo kabisa.
Acha kuongea usivyovijua unazifahamu nyimbo za Fid kama Usinikubali Haraka na miaka ya nyuma amewahi kutoa ngoma ya Crank sasa kama hoja ni kubadilika basi ashawahi kubadilika labda wewe ndio hufuatilii.Naona wameamua kumuokoa joh makini na hili swala la mbeleko....Nani mwingine kuibuka kumtetea huyu BWANA!!
I love rap music I love it. Na zaidi napenda sana rap/hip hop musician akisimamia kile alichokiamini. As for Joh Makini yule wa "hao" sio huyu wa combo combo....kabadilishwa ili aje na hizi redio tracks....streams songz .....hapo ndio napomtoa kuwa among the best.
Fid Q will stay there coz he never change no matter what.
Mkuu FA kitambo hajaanza mziki 2006kamtosa swahiba wake FA..
FA sio zao la 2006, FA yupo kwenye game kitambo.kamtosa swahiba wake FA..
Zote hizo kelele za kujifariji hakuna cha joh ..fid q wala stamina...habari ya mjini ni darasa ...ngoma yake inakunalika kila kona ya nchi ....hawa wengine wanabebwa tu....darasa ndo habari ya mjini
Rapa AY amefunguka na kusema kuwa toka mwaka 2006 mpaka sasa hakuna rapa ambaye ameibuka na kuwa mkubwa zaidi ya Joh Makini.
AY amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kudai kuanzia mwaka 2006 baada ya Joh Makini kuingia kwenye kundi la 'A list' ya rapa wazuri bongo hakuna rapa mwingine ambaye ameingia kwenye kundi hilo, ila amesema wapo rapa wamekuwa wakijitahidi lakini wanaishia 'B, C na D list' ya rapa wakali bongo.
"Toka mwaka 2006 hakuna rapa amekuwa mkubwa zaidi ya Joh Makini hapa bongo, wapo wanajitahidi lakini wengi wanaishia 'B, C na D list' hata Roma Mkatoliki ni rapa mzuri anajitahidi, lakini natoa ushauri tu kuwa rapa tunatakiwa kuongeza nguvu ya kujitangaza na kazi zetu, maana unaweza kuwa unaweza sana lakini bila kujitangaza huwezi kuonekana" alisema AY
Mbali na hilo AY alitoa ushauri tena kwa wasanii wa hip hop Bongo na kuwataka kutengeneza brand zao na kazi zao kwa kutafuta 'interview' mbalimbali na watu mbalimbali ndani na nje ya Tanzania ili kuongeza wigo wao na kutanua mipaka ya kazi zao.
"Unajua hata rafiki yangu Fid Q nilishawahi kumwambia hata kama wewe ni mkali na unajijua ni mkali sana kitu kikubwa unachohitaji ni kujitangaza , hivyo rapa tunahitaji kujitangaza sana na kutangaza kazi zetu, tujaribu kutafuta Interviews mbalimbali, nataka kuona rapa wetu mwaka 2017 wanashiriki matamasha makubwa, wajiongeze nina uhakika tutafanya makubwa zaidi" alisema AY