AY Kusomea kazi ya Urubani

AY Kusomea kazi ya Urubani

Mimi mwenyewe naendesha ndege ndogo. Mbona uku watoto wa miaka 15 wanaziendesha.

AY mngemuuliza vizuri labda yeye alimanisha kuendesha kwenye computer games.

Ila kila kitu kinawezekana

Hahahaaa uwiii
 
Hawa ndio wabongo bana, hawapendi maendeleo ya watu hata kidogo ni roho za kwanini tu zimetujaa. Mbona hizo ndege ndogo sio ishu au mmesahau hata BOB SAMBEKE ni Primary School lkn alikuwa na ndege yake na anaendesha mwenywe.
 
Hawa ndio wabongo bana, hawapendi maendeleo ya watu hata kidogo ni roho za kwanini tu zimetujaa. Mbona hizo ndege ndogo sio ishu au mmesahau hata BOB SAMBEKE ni Primary School lkn alikuwa na ndege yake na anaendesha mwenywe.

ndege ziko mpaka za sh.laki tano
 
Ataweza bana hapo ni determination tu itakuwa vizuri zaidi kama Geography,Mathematics na Physics alikuwa mzuri class.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kenya kuna chuo cha urubani na ada kumaliza mafunzo inakadiriwa kuwa 98M sasa kuna shida gani iwapo hiyo unaweza kuilipa kwa show ishirini tu!Watanzania acheni wivu wa kike kama si uchawi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
•Hahahahaaaaaa Ndege za kwenye Game
attachment.php

•anataka kununua ndege ndogo nini? Au anataka kuajiriwa na precision air?
 
Back
Top Bottom