simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Kiukweli AY anajua kujitangaza kama lilivyo jina lake Mzee wa Commercial na hilo linamfanya afahamike na kupendwa zaidi akiwa nje. Lakini kwenye kuimba honestly kwa upande wangu jamaa hajui kuimba, i mean sijaona wimbo wake mzuri uliohit kiivyo zaidi alizoimba na patner wake FA ndo huwa zina hit kuliko zake binafsi.
Kwenye kuimbaa hajui kwa kwelii labda nyimbo moja tu ndio nzurii
Kiukweli AY anajua kujitangaza kama lilivyo jina lake Mzee wa Commercial na hilo linamfanya afahamike na kupendwa zaidi akiwa nje. Lakini kwenye kuimba honestly kwa upande wangu jamaa hajui kuimba, i mean sijaona wimbo wake mzuri uliohit kiivyo zaidi alizoimba na patner wake FA ndo huwa zina hit kuliko zake binafsi.
Jamani Ay kujitangaza kote huko habari yke jf ina comment 6 tu,kweli nabii hakubaliki kwao.
Ingekuwa inahusu Diamond watu wangetoa maoni mpaka basiii[/QUOT
Naamini scandal zinasaidia kumpaisha mtu,jamaa hana scandal ndo maana watu hawana habari naye.Hivi mafunzo ya urubani ameshayamaliza huyu jamaa
[QUOT;9205726]Ingekuwa inahusu Diamond watu wangetoa maoni mpaka basiii[/QUOT
Naamini scandal zinasaidia kumpaisha mtu,jamaa hana scandal ndo maana watu hawana habari naye.Hivi mafunzo ya urubani ameshayamaliza huyu jamaa
Unajua ww mama una mambo,natamani nikuonage live ww bibie.Hata sijui labda ni mafunzo ya kitandani ndio hua hayana mwisho
Unajua ww mama una mambo,natamani nikuonage live ww bibie.
Nikubusu tu tena shavu la kushoto bibie.Unatamani unione ili unifanyeje na hutaniona labda mpaka niwe First lady lazima nijitangaze mie ndio Dinazarde wa jamii bila ya hivyo utaishia kunisoma humu tu hahhhhhhahha
Siku zote Ay atazid kuwa juu na pia ni moja ya wasanii wachache sana Tz ambao nyimbo zao zimeweza kuchezwa had MTV, Sizani kama kuna msanii hapa Tz anaweza kufikia level ya Ay kuanzia kujulikana kimataifa na hata kwa utajiri kama sikosei anashika #3 . Unayesema kwamba hajui kuimba sishangai sababu kila m2 kuna anachovutiwa napia unaposema hajui labda ungetoa na mapungufu yake kama angekuwa hajui asingeweza kuchukua tuzo kubwa za nje kama Chanel O na kufanya shoo nyingi nje...
Anajulikana nje sana kwasababu anajua sana kujitangaza thats good anatumia fursa yakuwa wasanii wengi wa bongo hawajitangazi nje wamebweteka na mafanikio yao hali inayofanya AY asiwe na competition sana kwenye soko la nje na awe na show nyingi au awanie tuzo nyingi za nje.. Ila kiuwezo binafsi wa kuimba sio mkali kiivyo ndo maana hata bongo nyimbo zake akitoa hazihit sana coz wapo wanaojua sana zaidi yake.
Mfano tu ukitaja wasanii wa Ug utataja Jose chameleone,Juliana, bebecool ila wapo wakali zaidi ya hao ila km hawatumii chance kijitangaza nan jata wajua?
Nani alijua Ghana kuna wasanii wa kali akina Iyanya,fusedog n.k unadhani walianza mziki tu ghafla? Kwa Ghana hao waliwajua kitambo na walikuwa wakali tu ila wamejitangaza ndo wakawajua sikazi wapo wengine wakali zaidi yao na wakifanya au wanafanya juhudi kujitangaza na tutawaona wanajua sana kuliko tunavyo dhan sasa Iyanya na fusedog tu ni wakali.
Na pia kwa Nigeria zamani tulikuwa tunajua Psquare na Dbanji na Jmartins tu niwakali kumbe wapo wengine wakali na wanaimba vizuri tu zaidi ya hao kama akina IcePrince Zamani na Davido..
Nikubusu tu tena shavu la kushoto bibie.
Kiukweli AY anajua kujitangaza kama lilivyo jina lake Mzee wa Commercial na hilo linamfanya afahamike na kupendwa zaidi akiwa nje. Lakini kwenye kuimba honestly kwa upande wangu jamaa hajui kuimba, i mean sijaona wimbo wake mzuri uliohit kiivyo zaidi alizoimba na patner wake FA ndo huwa zina hit kuliko zake binafsi.