AY kuzindua video ya Asante ndani ya club Tribeka Nairobi

AY kuzindua video ya Asante ndani ya club Tribeka Nairobi

Sizani kama kujitangaza halafu hujui kuimba unaweza kukubalika,
Kwa hapa Tz ni kuwa kuna tatizo la kubaniwa kwenye Media ndomana unakuta wasanii wanaoimba vitu vya mana wanabanwa tofauti na hawa wanaoimba nyimbo hazina hata vina lakini ndo wanaopewa promo.
Mf. Huyu Wanamuita sijui Dimpoz...Sioni anacho imba cha maana lakini wasanii kama Fidq,Stamina,na wengine wengi wanafichwa Ndo mana unakuta hao wanaopewa promo mrdia wanaishia hapa bongo huwasikii hatasiku moja wanashiriki Tuzo zanje ni wao na KTM za mpaka uhonge

Unataka kusema AY anabaniwa ? Yo not serious mbona ile colabo walioimba na FA na Jmartins ilukuwa maarufu na kupigwa sana na ilitangazwa tangu wapo studio kwa Marco chali pale Mj records au iyo promo au kubaniwa na media gani? Na bila hizo media za bongo huko nje angepeleka nan angemjua? Alichokifanya AY hakina tofauti na alicho kifanya marehemu Kanumba r.i.p na anacho kifanya diamond na ommy dimpoz kwa sasa kama kujipendekeza na kutumia fursa kufanya collabo na wasanii wa nje ili wajulikane kama diamond alivyofanya na Davido na Ay alivyokuwa anafanya na Psquare. Jmartins n.k
 
Bongo Flava rapper Ambwene Yessayah, popularly known as AY, is in Nairobi with his entire Mkasi TV crew.

AY-524x350.jpg

Mkasi is a weekly TV entertainment programme that is aired on EATV and is co-owned by AY, TV presenter Salama Jabir and producer Josh Murunga, who are all in Nairobi.

“We are here, first of all, to look at possible business expansion as far as our show is concerned,” AY told Chillax.

However, he will also be launching his new video Asante featuring Kenyan vocalist Dela, on Tuesday at Club Tribeka, during the weekly East Africa Wakilisha show.

AY was in Nairobi three weeks ago to shoot the same video.


go AY go...
Acha hawa mazezeta akina Juma Nature waendelee kunywa Banana Wine na kuvuta bange tu.
 
Back
Top Bottom