AY mmiliki wa kipindi maarufu cha MKASI

AY mmiliki wa kipindi maarufu cha MKASI

Yaani umetia aibu, inawezekana wewe ni mtanzania pekee ambaye bado ulikuwa hujalijua hilo
 
Njia panda cha clouds fm ni cha nani?

Alianzisha Dr. Sebastian Ndege kama nakumbukumbu vizuri ambaye kwa sasa ndo mwenye Jembe Fm, Jembe ni Jembe hotel na jembe ni jembe band na skylight band pia
 
AY ni CO -owner including Salama et al.
Fuatilia vizuri.
 
Back
Top Bottom