Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana FA na AY waligombana baada ya FA kuajiriwa na kitengo idara pendwa ya jengo la mwewe. AY akamuona huyu tayari kashakula shavu ukudani kwa wakuda. Alamsiki.
Sijui kwanini huna namuona kama snitchMwanafa miyeyusho sana
Huyo Toka zamani ni miyeyushoSijui kwanini huna namuona kama snitch
Uongo unaweza kuwepo, ila FA ni mkuda long time,hilo halina ubishi.Uongo 100%, huku mitandaoni utaona mengi uongo wazi kabisa na kushangaa sana.
Kwanini?Mwanafa miyeyusho sana
Sio kweli jamaa ni marafiki hadi wakati FA anagombea ubunge alikuwa anazunguka na AY tanga.Mwana FA na AY waligombana baada ya FA kuajiriwa na kitengo idara pendwa ya jengo la mwewe. AY akamuona huyu tayari kashakula shavu ukudani kwa wakuda. Alamsiki.
Kusema kweli FA huwa anaringa sana. Nakumbuka kipindi kile ametoa ngoma ya YALAITI nilivua saa yangu nikampa kama zawadi ilikuwa Zanzibar. 😂😂😂Huyo Toka zamani ni miyeyusho
Wewe mwenyewe ungepata ungacha kazi ya kubadilisha jina la ukoo wako? Hana miyeyusho yoyote ni fighter kama wewe tu. Unafiki ni dhambi.Mwanafa miyeyusho sana
factMwana FA na AY waligombana baada ya FA kuajiriwa na kitengo idara pendwa ya jengo la mwewe. AY akamuona huyu tayari kashakula shavu ukudani kwa wakuda. Alamsiki.
😃😀😀Kusema kweli FA huwa anaringa sana. Nakumbuka kipindi kile ametoa ngoma ya YALAITI nilivua saa yangu nikampa kama zawadi ilikuwa Zanzibar. 😂😂😂
Siku nyingine nilikutana naye Slipway Hotel nikamwita Binamu akaitika, nikamwambia ni Vipi naweza kuipata ile ngoma yako ya Wakati Umelala?