AY na Mwana FA unajua kwanini walitengana? Soma hapa.

AY na Mwana FA unajua kwanini walitengana? Soma hapa.

Mwana FA na AY waligombana baada ya FA kuajiriwa na kitengo idara pendwa ya jengo la mwewe. AY akamuona huyu tayari kashakula shavu ukudani kwa wakuda. Alamsiki.
Sio kweli jamaa ni marafiki hadi wakati FA anagombea ubunge alikuwa anazunguka na AY tanga.
AY anasema urafiki wao ulidumu kwa sababu rafiki zake AY si lazima wawe rafiki wa FA and verse versa is true.
 
AY na yeye ingefaa sana akagombee ubunge kwao wakutane bunguni kama waheshimiwa na mshua wake huyo, game lao HII LEO lilibamba sana enzi zile, bila kumsahau mwanakikundi King Crazy GK
 
Back
Top Bottom