Aya 2 za mwisho za suratil Baqarah, kwa ulinzi na Kinga wakati wa kulala.

Shanily

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2024
Posts
856
Reaction score
1,662
Aya hizi ni muhimu sana kwa Muislamu kuzisoma pindi anapotaka kulala.
Huleta ulinzi na Kinga dhidi ya Shari za usiku za mashetwani, majini na watu biidhnillah.

Kama unawatoto ambao wamenyanyukia jitahidi uwahifadhishe wawe wanazisoma Kila siku kabla ya kulala.
View attachment 3175277
 

Attachments

  • Screenshot_20241212-172406.jpg
    378.2 KB · Views: 6
Ayat Qurusiyu inahimiza Tawheed ukiwa na Tawheed uchawi mawazo ya kisheitani yataondoka........bila kuswali swala tano hamna chochote mkuu.
 
Ayat Qurusiyu inahimiza Tawheed ukiwa na Tawheed uchawi mawazo ya kisheitani yataondoka........bila kuswali swala tano hamna chochote mkuu.
Ni sawa, ila hizo pia zimehimizwa katika ulinzi nyakati za kulala. Usilale bila kuzisoma.
 
Hakuna kitu hapo zaidi ya kumnufaisha mwarabu na Tamaduni zake.
 
Ni sawa, ila hizo pia zimehimizwa katika ulinzi nyakati za kulala. Usilale bila kuzisoma.
Muhimu ni kuswali swala tano kusoma ni yaziada hamna shetani wakufuata mtu anae swali mara tano kwasiku
 
Muhimu ni kuswali swala tano kusoma ni yaziada hamna shetani wakufuata mtu anae swali mara tano kwasiku
Mmh!! Basi ingekuwa swala pekee inatosha kusingekuwa na adhkar za asubuhi na jioni , na mtume ( swalallahu alayhi wasalam) asingesisitiza isomwe kabla ya kulala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…