aya sasa mtaji n elf50 tu biashara inaanza!

aya sasa mtaji n elf50 tu biashara inaanza!

ANKOJEI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
996
Reaction score
745
Nunua trey10 za mayai chemsha zungusha mjin maeneo karib au ndan ya stand,
trey10 ni sawa na mayai mia3
uza sh mia3 kila moja
Faida 300x300 toa elf50 =elf40
ukiweza pata vijana na kuza tray10 kila siku then mwez mmoja una faida ghafi mil1.2
weka vyeti pemben ingia mtaani
 
hawa vijana wa kuuza unawatoa shule au wapi mkuu!!
 
kaka, elf 50 kwa mayai 300? ina maana kila moja umenunua kwa 167 au tuseme 5000 kwa tray? wap wanauza kwa bei rahisi tray ya mayai hivyo?

otherwise wazo lako ni zuri kufikirisha kichwa, hata kama hutauza tray 10 per day bado faida ipo
 
kaka, elf 50 kwa mayai 300? ina maana kila moja umenunua kwa 167 au tuseme 5000 kwa tray? wap wanauza kwa bei rahisi tray ya mayai hivyo?

otherwise wazo lako ni zuri kufikirisha kichwa, hata kama hutauza tray 10 per day bado faida ipo

fanya ivi nunua trei kwa sh elf6 then vijana si wako kibao apo stend? be creative
 
utawalipa bei gani hao vijana?, mayai itachemsha kwa gas, kuni au mkaa?. basi toa hapo kwenye 4000 halafu itakayo baki zidisha kwa 30 upate faida yako kwa mwezi. mia
 
Haya mambo ndo yanafanya nchi yetu istoke ilipo.wazo kwa kulisoma ni zuri lakin alitekelezeki!dah pamoja na kuangaika na hii elimu kwa zaidi ya miaka 15 leo hii naambiwa niweke vyeti chni niingie mtaani!nachka sasa.kuna ulazima wa kubdili mfumo wa elimu yetu kama ndo hvo hautusaidii tuliowengi.
 
utawalipa bei gani hao vijana?, mayai itachemsha kwa gas, kuni au mkaa?. basi toa hapo kwenye 4000 halafu itakayo baki zidisha kwa 30 upate faida yako kwa mwezi. mia

ndio mana nimesema faida ghafi, sio faida halis, gros and net profit n vit viwil tofaut.
Owk let say unatumia lak6 kwa operation yako then lak6 unabak nayo.
swala apa n kuwa makin na operation cost zisiwe kubwa,
alaf vyet kama havikup pesa n kaz bure
 
Haya mambo ndo yanafanya nchi yetu istoke ilipo.wazo kwa kulisoma ni zuri lakin alitekelezeki!dah pamoja na kuangaika na hii elimu kwa zaidi ya miaka 15 leo hii naambiwa niweke vyeti chni niingie mtaani!nachka sasa.kuna ulazima wa kubdili mfumo wa elimu yetu kama ndo hvo hautusaidii tuliowengi.

nch haiendelei kwa kuweka vyeti kwenye kabati, but kutumia elim uliyonayo kutambua fursa zinazokuzunguka. ukipita mjin hakikisha unaangalia kulia na kushoto fursa zilizopo usiwe zuzu unajiona msomi alaf huna hela au unakaa kwa dadako anayeuza mandazi!
 
utawalipa bei gani hao vijana?, mayai itachemsha kwa gas, kuni au mkaa?. basi toa hapo kwenye 4000 halafu itakayo baki zidisha kwa 30 upate faida yako kwa mwezi. mia

mayai yanachemka si zaid ya dakika kumi kwa ufanis zaid, tumia ges kuwa na chombo kikubwa na ile kijiko iliyotobolema kwa chin il maji ya moto uliyochemsha kwanza utumie mara ya pil
 
Back
Top Bottom