Aya wadau, naombeni ufafanuzi juu hili plz!!!!

Aya wadau, naombeni ufafanuzi juu hili plz!!!!

Arnold Ndosi

Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
65
Reaction score
3
kuna jambo moja ambalo linazungumziwa sana na watanzania hasa vyombo vya habari. Swala lenyewe ni MFUMO WA ANALOJIA NA MFUMO WA DIGITALI. Kiukweli sijui lolote juu ya dhana hizo, naombeni ufafanuzi juu ya hili plz huku mieleza tofauti zake.
 
Back
Top Bottom