imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kisomo hakizuii Drones ila Electronic Jamming ndio inazuia.kisomo muhimu wanga wengi sana
Watu waliolewa Dini ndio huwa wanafanya mambo kama Watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisomo hakizuii Drones ila Electronic Jamming ndio inazuia.kisomo muhimu wanga wengi sana
Kisomo kinapigwa na Drone zinatengenezwa , Wewe si uliona makombora yale mpaka Saudi Arabia nae alizuiaKisomo hakizuii Drones ila Electronic Jamming ndio inazuia.
Watu walolewa Dini ndio huwa wanafanya mambo kama Watoto.
Vile Vibajaji?Kisomo kinapigwa na Drone zinatengenezwa , Wewe si uliona makombora yale mpaka Saudi Arabia nae alizuia
Kumbe hujaona!Wapi katajwa Myahudi?
Kwa kuwa wao waisrael wako immune hawawezi kupigwa kule ni piga nikupige haina mnyonge .Kama walivurumishiwa madrone na missile sasa wanamtishia nani yaani aogopewe ana nini.There is no enough security that can guarantee anyone's utmost safety but in regard to the Iran case I would rather advise the Iranian leadership to change its foreign policy especially toward Israel from being the one for bellicose to more of a pacific dispensation otherwise incidents like the one that happened recently will linger in the Persian state.
Mkuu bado hujaona kuwa Israel Ni tishio au mpaka wamdondoshe mtu mzito unaemjua?Kwa kuwa wao waisrael wako immune hawawezi kupigwa kule ni piga nikupige haina mnyonge .Kama walivurumishiwa madrone na missile sasa wanamtishia nani yaani aogopewe ana nini.
Akae ndani asisafiri kabisa kama OsamaKwanza nitoe pole Kwa taifa la Iran Kwa kumpoteza Kiongozi wao,
Pili, inafaa Ulinzi uimarishwe Kwa Ayatollah Ali ili kumlinda na mashambulizi ya maadui ambao dunia inawajua Ila ndo vile
Ndani au kwenye handaki? Maana jamaa ni hatari sana aisee. Yaan utungue Rais, Waziri wa Mambo ya Nje na Gavana Kwa mpigo? Tena kama unawinda ndege poriniAkae ndani asisafiri kabisa kama Osama
BILA Shaka huyo ndio anayefata🤣🤣Kwanza nitoe pole Kwa taifa la Iran Kwa kumpoteza Kiongozi wao,
Pili, inafaa Ulinzi uimarishwe Kwa Ayatollah Ali ili kumlinda na mashambulizi ya maadui ambao dunia inawajua Ila ndo vile
asubiri wamdondoshe ayatola kamenei.Mkuu bado hujaona kuwa Israel Ni tishio au mpaka wamdondoshe mtu mzito unaemjua?
Unalindwa na watu ,ambayo muda wowote unawanyonga live mbele ya watoto na wake zao , akae kwa kutulia ,ndege 2 zimetua kwa uzuri ila Moja ndio imetua kwa ugumu hard landing ,tafakari upya neno hard landingAsante sana tumepoa
vibaji haviwezi zuiwa na nchi zaidi ya 4 , zile ni kombora, angalia balaa lake kule Ukraine , kulala giza wamezoeaVile Vibajaji?
Ukivimwaga kama Utitiri vina overwhelm defences.vibaji haviwezi zuiwa na nchi zaidi ya 4 , zile ni kombora, angalia balaa lake kule Ukraine , kulala giza wamezoea
maana yake hiyo ni shida ya defence sio komboraUkivimwaga kama Utitiri vina overwhelm defences.
Low tech.maana yake hiyo ni shida ya defence sio kombora
Umeandika nini!?Kama watoto wa kiume wa kwanza walitembea kale za Misri, maji bwana ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga