Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 875
- 633
Watu wengi sana leo waliamini Ayatollah Sayyed Ali Khamanei atahudhuria mazishi ya rafiki yake kipenzi Gaidi Hassan Nasrallah lakini kachomoa dakika za mwishoni na kutumia wawakili ambao ni
1. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Araqchi.
2. Spika wa Bunge la Iran Qalibaf.
3. Naibu Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi Ali Fadawi.
4. Kamanda mwandamizi wa Kikosi cha Quds cha Iran katika Masjidi ya Walinzi wa Mapinduzi.
5. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Karibabadi.
Hapo pichani w anaonekana wakipokelewa kwenye uwanja wa ndege wa Beirut,Lebanon. Nawaomba IAF wafanye jambo wakati wanaondoka huko Lebanon kama walivyofanya kwa Yule Rais wa Isran marehem rais!!
1. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Araqchi.
2. Spika wa Bunge la Iran Qalibaf.
3. Naibu Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi Ali Fadawi.
4. Kamanda mwandamizi wa Kikosi cha Quds cha Iran katika Masjidi ya Walinzi wa Mapinduzi.
5. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Karibabadi.
Hapo pichani w anaonekana wakipokelewa kwenye uwanja wa ndege wa Beirut,Lebanon. Nawaomba IAF wafanye jambo wakati wanaondoka huko Lebanon kama walivyofanya kwa Yule Rais wa Isran marehem rais!!