Ayatollah Khamenei aongoza sala mbele ya jeneza la Ismael Haniyeh aliyeuawa na Israel

Bado yeye anye ajiandae,bikra zitapata tabu mwaka huu
 
🤣 🤣 🤣

Hakuna pepo shtuka usingizini yaani Uthibitisho wake ni maandishi yasiyo na scientific proof
 
NETANYAHU TUNAHITAJI KICHWA CHA AYATOLA HAITAKIWI KITAIFA KAMA HICHI CHA KUVAA MAGAUNI KILETE ZARAU
 
We nae hebu dili na maisha yako sasa, kila dakika mara iran mara israel
Si uende jukwaa linalokufaa au usiingie Jf
Huoni wewe ndo Kama una matatizo upstair unaacha maisha yako
unakuja kushambulia MTU ambaye hata humjui jina zaidi ya fake Id
 
Dah ila Israel jamani wamefanya kitu mbaya, yaani hapo mgeni umempokea then anafariki mikononi mwako na adui
 
Nawashangaa sana watanzania wanao hangaika wakijifanya wazalendo wa irani mara israel wakati hapa kwao tu yamewashinda, Hao iran na israel hawawatambui mashabiki maandazi walioko bongo
Mambo ya wabongo yanajadiliwa kwenye jukwaa lake
Huku ni International forum
Kwanini Unataka kutudhalilisha wabongo kwamba hutuelewi Kila Eneo Lina lugha yake
Kwamba tujadili Kila mahali mambo yetu ya Ngedere na bundi

Siku hizi hamsomi hayo mambo au ndo vichwa vina matatizo
Ukiwa sokoni kanisani shuleni vijiweni Kuna lugha yake
 
Kwanini akazikwe Qatar ambako walikataa kuendelea kumpa hifadhi?
Hifadhi ya nini wakati yeye alijifanya mjanja,akawa ana kimbia kimbia.Mbona Bwana Netanyau hakimbii😂😂
 
Yaani hizi ahadi za dhahania ndo zinafanya watu wanauana kiasi hiki!
 
Siwadhalilishi ila nawaambia ukweli, guys mnaguswa sana na mambo ya wengine ya kwenu aahhh
Na mna hali isiyo ridhisha, deal na ya kwenu kwanza
 
Wakristo mbinguni mtapewa nini?na mtakula chakula gani
 
Wewe mwenyewe rudia kusoma andishi lako MUHAMAD 15!

Pepo waliyoahidiwa wachaMungu ndiyo hiyo hiyo Jehanam?

Mbona umeandika kwa kuchanganya mada namna hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…