Ayatollah Khamenei aongoza sala mbele ya jeneza la Ismael Haniyeh aliyeuawa na Israel

Ayatollah Khamenei aongoza sala mbele ya jeneza la Ismael Haniyeh aliyeuawa na Israel

Huyo hataonja hata barzaq!; moja Kwa moja sardaus!
Na chakula Cha kwanza sardaus ni maini ya samaki!
👇👇
ما أول طعام في حديث الجنة؟

'. أجاب النبي صلى الله عليه وسلم: "أول طعام يأكله أهل الجنة فضل كبد الحوت". 'يوضح العلامة النووي رحمه الله أن فضل الكبد ألذ/أطيب. والله تعالى أعلم
.Nini 'awal taeam fi hadith aljanati?
'. 'ajab alnabiu salaa allah ealayh wasalama: "'awal taeam yakuluh 'ahl aljanat fadl kabid alhuti'." 'yuadih alealamat alnawawia rahimah allah 'ana fadl alkabid 'aladh/'atib. wallah taaalaa 'alama.

IslamQA - Search for Islamic Q&A from four Madhhabs > hadithanswers
'Awal taeam yakuluh 'ahl aljanat - IslamQA

'. Mtume, swallallahu alayhi wa sallam, akajibu: “Chakula cha kwanza watakachokula watu wa Peponi ni maini ya nyangumi.

IslamQA - Search for Islamic Q&A from four Madhhabs › majibu ya hadithi

Baada ya Hapo atapewa mbuguma.70 na
مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ulevi kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?..........
Hivi Sardaus na Firdaus wapi pazuri mgen
 
Nimecheka kwa sauti, hizo dini zinawafanya muwe wapumbavu! Mtu amekufa kwa ujinga wake eti anaenda kula mayai ya samaki! Once umekufa habari yako ndo imeishia hapo, vijana lindeni sana afya na uhai/maisha yenu maana hakuna maisha nje ya haya.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Mtume wetu Muhammad (S.A.W) hakusema hivyo. Acha Ukafiri
 
Huyo hataonja hata barzaq!; moja Kwa moja sardaus!
Na chakula Cha kwanza sardaus ni maini ya samaki!
👇👇
ما أول طعام في حديث الجنة؟

'. أجاب النبي صلى الله عليه وسلم: "أول طعام يأكله أهل الجنة فضل كبد الحوت". 'يوضح العلامة النووي رحمه الله أن فضل الكبد ألذ/أطيب. والله تعالى أعلم
.Nini 'awal taeam fi hadith aljanati?
'. 'ajab alnabiu salaa allah ealayh wasalama: "'awal taeam yakuluh 'ahl aljanat fadl kabid alhuti'." 'yuadih alealamat alnawawia rahimah allah 'ana fadl alkabid 'aladh/'atib. wallah taaalaa 'alama.

IslamQA - Search for Islamic Q&A from four Madhhabs > hadithanswers
'Awal taeam yakuluh 'ahl aljanat - IslamQA

'. Mtume, swallallahu alayhi wa sallam, akajibu: “Chakula cha kwanza watakachokula watu wa Peponi ni maini ya nyangumi.

IslamQA - Search for Islamic Q&A from four Madhhabs › majibu ya hadithi

Baada ya Hapo atapewa mbuguma.70 na
مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ulevi kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?..........
Ngano za kale tamu sana, mito ya asali na maziwa utakubali tuu
 
Mtume wetu Muhammad (S.A.W) hakusema hivyo. Acha Ukafiri
Dunia inatushangaa, jitu jeusi tii limezaliwa Makambako kutwa kucha kusifia mababu wa wazungu na waarabu eti mtume wetu!!!! Amka wewe, achana na huo utumwa wa kidini, tumia muda wako kuwaombea mababu zako.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Maelfu wamejitokeza kuhudhuria mazishi ya kiongozi wa kisiasa wa Hamas, Ismail Haniyeh, nchini Iran ambaye aliuawa katika shambulizi mjini Tehran siku ya Jumatano.
 
Back
Top Bottom