Ayatollah Khamenei asema Netanyahu anastahili adhabu ya kifo na siyo kukamatwa

Tena na akisha kufa na maiti yake ipigwe mawe ife tena halafu wapewe mbwa na wale mbwa wauliwe ili afe tena mbwa muuaji
 
Hiyo adhabu sasa Netanyahuu atapitishiwa na nani? Wakati yeye mwenyewe ayatollah kafichwa kwenye mahandaki anabwekea kuko
 
Interesting
 
Huyu jamaa ana biti😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo Kamenei, anasema wanaostahili kifo ni Netanyahu tu au wote wasio wa dhehebu la shia, wakiwemo Ritz na FaizaFoxy !

Vipi wakristo na makafiri kama akina Putin, wao hamna adhabu ya kifo? Au Putin ni mwislamu?

Ayatola anyooshe maelezo.
 
“Bombing people’s houses in Gaza and Lebanon is not a victory,” he says, “The fools should not think that just because they bomb people’s homes, hospitals and communities, they have won. No, nobody considers this a victory.”----what about your evil's support against innocent people in Ukraine?
 
Ule wa oktoba 7 ulikuwa ni uislam uliotukuka kutoka kwa Allah eeh?Neta endelea masheitwan hawana utu hao.
Oktoba 7 ni ugaidi.

Sasa watoto, wanawwke, madaktari na wazee wanahusikaje hadi muwaue kinyama vile.

Na mpaka sasa bado matrka hawsjapatikana

Israel imefanya ugaidi kuukabili ugaidi
 
Huyu jamaa ana biti😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😄😅Mzee Fulani hivi age imeenda ila anabaki na misimamo yake na anaishi anachokiamini Kwa vitendo........jamaa ni mwamba kuiwezesha Iran kusa superpower,mageuzi makubwa ya science na technology yameshuhudiwa Iran ndani ya utawala wake
 
Huyo Kamenei, anasema wanaostahili kifo ni Netanyahu tu au wote wasio wa dhehebu la shia, wakiwemo Ritz na FaizaFoxy !

Vipi wakristo na makafiri kama akina Putin, wao hamna adhabu ya kifo? Au Putin ni mwislamu?

Ayatola anyooshe maelezo.
nyau ni kif tu, tena ha kutundikwa msalabani. maana ana laana yule.

Si unafahamu kila atundikwae ana laana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…