Ayatollah Khamenei asema Netanyahu anastahili adhabu ya kifo na siyo kukamatwa

Huyu Ayatollah atakufa yeye na Netanyahu atamuacha hai kama amba vyo mtangulizi wake Ayatollah Khomein alivyokufa na kumuacha Salman Rushdie anadunda mpaka leo
 
nyau ni kif tu, tena ha kutundikwa msalabani. maana ana laana yule.

Si unafahamu kila atundikwae ana laana?
Hujajibu swali mpenzi wangu, vipi nyie msio washia, wewe kipenzi changu, Ritz na Putin, mtaachwa salama na Kamenei?
 
Respect sana huyu mzee very intelligent saivi Iran sio nchi ya kushobokewa kizembe ni nchi inaogopwa ni kiongozi akisimama dunia inasikiliza leo mwamba ataongea nin
 
Hiki kizee kinatafuta kufa tu shauri zake.
 
Wewe na Waziri wa Spain nani anayeifahamu Israel zaidi!?
Akili za kipumbavu hizi.
Kuwa waziri wa Spain hakuguarantee uwezo wa kuifahamu israel acha uzwazwa!
Hao wajerumani wanaomsapoti Netanyahu utawasemaje?Waziri wa aspain na Trump nani anayeifahamu Israel.
Umerithishwa chuki kwa mayahudi na mwamedi huna lolote!
 
Respect sana huyu mzee very intelligent saivi Iran sio nchi ya kushobokewa kizembe ni nchi inaogopwa ni kiongozi akisimama dunia inasikiliza leo mwamba ataongea nin
Mzee unayemrespect kajificha kwa bunkers
 
Kuwa waziri wa Spain hakuguarantee uwezo wa kuifahamu israel acha uzwazwa!
Hao wajerumani wanaomsapoti Netanyahu utawasemaje?Waziri wa aspain na Trump nani anayeifahamu Israel.
Umerithishwa chuki kwa mayahudi na mwamedi huna lolote!
Fala kwenye ufala wake.
Germany na USA hao wanalinda maslahi yao na Israel.
Hata Iran aliwahi kusimama pamoja na Israel miaka ya 1950-1990s kipindi walipokua wana maslahi sawa.
Ila Sasa hivi Iran na Israel ni maadui kwasababu maslahi yao yako tofauti.

Naona kama naongea na kinda lisilojua hata maana ya geopolitics ni nini.
Trump na washirika kama Germany wanasimama na Israel for their geopolitical interests,hiyo haiondoi ukweli kuwa wayahudi ni LAANA NA BALAA NA JANGA DUNIANI.
Ndio maana mataifa 124 katika kikao Cha UNGA walipiga kura dhidi ya Israel na kuiunga mkono Palestina.
Akili huna wewe huna unalojua zaidi ya udini tu.
Ushakimbilia kwenye udini.
 
Ndo mana Myahudi anaendelea kuwabutua.

Kama kilichotokea kariakoo watu wamekufa masikitiko kama yote, ila bado hamjifunzi kitu kinachotokea palestina, imani wala huruma kwa wapalestina hamuna. Very sad
 
Mzee unayemrespect kajificha kwa bunkers
Mzee hua anaswalisha sala ya Ijumaa mfuatilieni vizuri yule ana miaka 85, shida sio kumuua shida ni baada ya kumuua na ugundulike umemuua ndicho US wanahofia tu
 
Kama kilichotokea kariakoo watu wamekufa masikitiko kama yote, ila bado hamjifunzi kitu kinachotokea palestina, imani wala huruma kwa wapalestina hamuna. Very sad
Huruma na Imani tunawatakia pia waweze kufikia uwepo wa Amani ila Shida ipo kwa kundi la HAMAS.
Madhila na Mateso yote wanayopitia Wapalestina (raia)ni kutokana na vitendo vya HAMAS:
1. Walifanya uvamizi 07Okt.2023 wakaua raia na kuteka Raia wa Israeli. Jambo hili lilichochea moto na kuongeza uhasama na kuhalalisha Israeli kuwafuatilia na kuwaokoa Mateka (Vita). Laiti HAMAS wasingefanya hilo, Myahudi asingelipata sababu ya kuingia kijeshi Palestina kwa lengo la kukisambaratisha kikundi cha HAMAS.
2. HAMAS wanayo tabia mbaya sana ya kuwateka, kuwatesa na kuwaua (kuwapoteza) Raia au mtu yeyote anayeonekana haungi mkono harakati zao i.e. Ni mpinzani.
3. Tunachojifunza kutokea Palestina ni kuacha na kuepuka kabisa Matendo yatakayoweza kuwa chanzo au kusababisha vita.
4. HAMAS hawana na hawajawahi hata mara moja walau kutoa kamsaada kiusalama na kiubinadamu kwa raia wa Palestina bali wamewaacha njia panda tena wanawatumia raia hao kama ngao.
 
Asiache kabisa kabisa
Nasikia Hezbollah wameomba poo na mchakato umeanza. Sijafuatilia.
HAMAS anajifia mwenyewe kwa kukosa pumzi. IDF wanamSuffocate kama chatu auavyo mbuzi.
 

Sijamalizia kusoma comment yako, ni kwamba upo upande wa wavamizi.

Unaposema walifanya uvamizi, una uhakika ni hamas walifanya uvamizi huo na sio israel wenyewe ili wapatiamo sababu ya kuuwa Raia na kuichukua Gaza!

In short hujui historia ya ile ardhi, na vita haikuanza oct, wapalestina wameshapitia mateso na wengine wameuawa kwa kupigania ardhi yao inayokaliwa kimabavu. Shida wengi wenu mpo kishabiki.
 
Yeah! Ushabiki upo ni kweli lakini unataka kusema kwamba yale matukio ya tar 07 Okt. 2023 sio ya kweli??
 
Yeah! Ushabiki upo ni kweli lakini unataka kusema kwamba yale matukio ya tar 07 Okt. 2023 sio ya kweli??

Ni ya kweli lakini una uhakika gani kama ni hamas wamefanya shambulio hilo na sio israel ili lengo lao la kunyakua gaza litimie, Wakisaidiwa na mataifa ya nje kuuwa raia! Wewe hata kama ni mfuasi wa hao wavamizi ila kiubinadamu tu unalitazama vipi! Kama katibu mkuu ameongea, na the hague wameamuru netanyahu akamatwe, wewe kama nani upinge!
Nasikia Hezbollah wameomba poo na mchakato umeanza. Sijafuatilia.
HAMAS anajifia mwenyewe kwa kukosa pumzi. IDF wanamSuffocate kama chatu auavyo mbuzi.

Ni kwamba umesikia, ila huna uhakika! Ni nani amesema hizbu wameomba poo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…