Ayesha Curry: Kwanini sitongozwi?

Ayesha Curry: Kwanini sitongozwi?

Naulimwengu huu wa technology " unadhani kuwa hilo naweza kulifanya .... jana tu nimetoka kukesha YouTube..macho yangu yaka nidhihirishia kuwa curry ni shida nyingine

Safi sana, nakuongezea majina machache ya kwenda kuangalia YouTube kuhusu skills:-

Kyrie Irving, Allen Iverson, Jamal Crawford na Jason Williams.

Curry ni best 3 pointers shooter to ever happen in a game.
 
Safi sana, nakuongezea majina machache ya kwenda kuangalia YouTube kuhusu skills:-

Kyrie Irving, Allen Iverson, Jamal Crawford na Jason Williams.

Curry ni best 3 pointers shooter to ever happen in a game.

Leo nimeona mtu anafanana na wewe sanaaaaa
 
Kama inshu ni takwimu ndio zinamuweka mtu juu ya wenzake,basi tusimlaumu Westbrook kwa anachokifanya.
Sipendi kukariri,skills za curry zinamfanya kuwa among the best,lakini kama ni points,rebounds na dunks mpeni mwingine maujiko
 
Kama inshu ni takwimu ndio zinamuweka mtu juu ya wenzake,basi tusimlaumu Westbrook kwa anachokifanya.
Sipendi kukariri,skills za curry zinamfanya kuwa among the best,lakini kama ni points,rebounds na dunks mpeni mwingine maujiko

Maujiko yanakuja tu siyo kwa kulazimisha, watu wata acknowledge kama umewagusa.

RW bado hajagusa watu, na hatawagusa.
 
Mtoa mada mbona kama umemwekea maneno Mdomoni Mrs. Curry, alichokisema ni kwamba wakiwa pamoja na mumewe huwa wadada wanamshobokea mume wake Ila yeye wanaume huwa hawamshobokei.
Kwani ukiacha u-star wa mumewe yeye binafsi nini kinamtambulisha kwenye jamii?
 
Maujiko yanakuja tu siyo kwa kulazimisha, watu wata acknowledge kama umewagusa.

RW bado hajagusa watu, na hatawagusa.
Semea nafsi yako,watu wengi sana wanamfahamu curry kuliko lebron wako.
Curry ni mchezaji wa timu kama rooney,wala hatafuti ujiko bali unajileta wenyewe.
 
Kwani ukiacha u-star wa mumewe yeye binafsi nini kinamtambulisha kwenye jamii?

Swali zuri, wengi tumemjua kupitia kwa mume wake.

Ila wikipedia wana data zake:-
Screenshot_20190512-112049.jpg
 
Semea nafsi yako,watu wengi sana wanamfahamu curry kuliko lebron wako.
Curry ni mchezaji wa timu kama rooney,wala hatafuti ujiko bali unajileta wenyewe.

Nadhani umeingizia ushabiki kusema LeBron wangu.

Fanya rewind ya All Stars Voting, uniambie ulinganifu ukoje kati ya hawa watu kwa misimu mitano iliyopita ambayo Curry yuko peak.
 
Ahaa kumbe nae ni star, ni haki adai kushobokewa

Siyo star bado, anasafiria nyota ya mume wake. Na ana force recognition ili kuongeza viewers kwenye kazi zake, ndiyo maana ya kuja na hizo controversial comments.

So far amewin, maana amekuwa kwenye mjadala sana mpaka JF imetufikia.
 
Simamia mtindo wanaocheza nowdays

Kufananisha viwango vyao sidhani kama italeta usawa

Makocha wa ss wana mbinu tofauti na mtindo tofauti

Siku za nyuma Carter alikua ana dunk na kuning'inia ila ss anasema game iko kasi

MJ anaweza kufanya yoote anayofanya Curry ila Curry hataweza
Nimemuona Mj " curry yuko mbali zaidi kiuwezo kuliko Mj " mara nyingi katika maisha watu wa zamani ndio huwa tulivyo huwaga tunapenda Sana kuamini kwamba " vilivyopo katika wakati wetu ndio vilikuwa bora kuliko wakati uliopo au ujao ...kitu ambacho sio kweli ....

Curry ana sifa zote ana kasi ya ajabu.anapiga chenga ambazo hauwezi kuziona kwa mtu yeyote.. anafunga magoli katika nyakati zote tena haswaa katika nyakati ngumu ..sehemu ambayo mchezaji mwingine hawezi kushinda curry anashinda ' ijapo kuwa ana kimo cha wastani lakini anafanya vitu vikubwa ambavyo vimewazidi mijitu ya miraba minne .... bado nasimamia maneno yangu hakuna kama curry
 
Back
Top Bottom