Ayoub Daudi wa Star TV

nimewahi kuiona yaani mikono ni mifupi halafu mamikono ya shati yanajitokeza nje ya mikono ya suti kwa kiasi kikubwa
 
nimewahi kuiona yaani mikono ni mifupi halafu mamikono ya shati yanajitokeza nje ya mikono ya suti kwa kiasi kikubwa

kama ni kweli aonapo post hii ajirekebishe aige mfano was Bernard na Raymond
 

Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Kama wananunuliwa iweje avae vipensi ya suti? Jiulize.
 
Aisee Suti inaishia kifuani si Top tena hiyo au kizibau sijui kizibao!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 

ndo sababu inayomfanya avae suti inayoishia kifuani?
 
Si yule jamaa huwa anasoma habari za za mchana, hata mi nilimewahi kumwona ila hiyo siku suti iliishia magotini na mikono sikuiona kabisa, sijui ni yale makoti ya sh 3000 pale Boma au Ilala!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…