Ayoub Lakred mnamchukulia poa atawashangaza!

Nadhan Manula anamloga sana huyu jamaa

Shida yule mpogolo anapuliza sana . This time kaja kocha wa kiarabu anaongea na muarabu mwenzie mubashara

Haiwezekan ile game ya Yanga Manula adake……. Haikuwa tu kupona, hata fitness’s hakuwa nayo.

Yule jamaa haoni vema na anapewa game ivo ivo
 
Mkuu huyu Ni bonge la kipa....inshu tunakariri....kila siku acheze yuleyule kumbe Kuna mchezaji Bora pia ambaye mkamchukulia POA kumbe yupo vzr sana

Mchawi yule Mpogolo
Na hata akienda golini lazima aende na unga unga na kile kitaulo chake

Siamini katika uchawi but hiyo myth ipo


Ndugu zake Mshana huyo
 

Mkuu Kuna watu haswa wa Yanga ndio wanamponda kwasababu ni Mzuri iliSimba Wamkose Either wanchukue wao! Au Tuendelee kuharibu!
Fitina Kaka…Penge Riziki hapakosi fitina,
Wapo marafiki pia wa Makipa wa Hapa Bongo wanamponda ili Marafiki zao makipa wapate nafasi! akili kichwani Kaka!
 
Mimi hii Simba bhana wanajitahidi ila wengi Sana......WW km Ni mzee utacheza TU kwa kujitahidi ili pumzi huna!!!!.....kapombe,zimbwe Hawa Ni wazee hawana jipya, wanajitahidi TU.......huu ndio mwisho wa Safari yetu
 
Mimi hii Simba bhana wanajitahidi ila wengi Sana......WW km Ni mzee utacheza TU kwa kujitahidi ili pumzi huna!!!!.....kapombe,zimbwe Hawa Ni wazee hawana jipya, wanajitahidi TU.......huu ndio mwisho wa Safari yetu
Mwisho wa safari?. Mbona Ngoma bado mbichi kabisa?
 
Alafu Huyu INONGA naona Kama simuelewi....espically toka mechii ile na Yanga.....mayele alipofunga mbili Kuna kitu hakipo sawa kwakee
 
Leo tumepigwa ila Cha ajabu kesho tukirudiana akipangwa Ally Salim lazima wahoji....kwanini ayoub hakucheza??? HasaHasa tukifungwa......Leo hawawezi kumuhusisha LAKRED kabisaa Ila akifanya vibay Sasa......mmmh!!!! Mama weeee

Chama
Saido
phiri
Onana
Kapombe
Zimbwe


Sio wachezaji wa kuichezea Simba aisee Ni wa kawaida

Baleke
INONGA

Hawa pia nahisi imani TU zinawabeba ila pia watawafuata wenzio hapo juu Ni suala la muda nipo.....paleeeeee
 
Jana nimemuandika Baleke mara 2 kwenye Uzi wa updates nikafokewa, Bora na wewe umemuona. Nàrudia;
BALEKE!!!
 
Leo Ayoub ametuokoa kwa mara nyingine tena,ila Baleke hajitumi kwakua tayari amechukuliwa na Tp Mazembe
Cha ajabu wasiojua mpira watasema onana ndio MAN OF THE MATCH......atasifiwa Sana onana na kuonekana shujaa bila kujaa huyu niliomsifu na kuona ubora wake ndio katubeba kwenye mechii hii ngumu.... otherwise tungekufa 4 first half tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…