Ayoub Lyanga ni msaada mkubwa endapo Simba mtakuwa naye msimu ujao

Ayoub Lyanga ni msaada mkubwa endapo Simba mtakuwa naye msimu ujao

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nimeona Azam wameachana na Ayoub Lyanga, huyu kiungo ni mzuri sana, mwanza anajua kupiga kona, pili, ni mzoefu, tatu bado boli analo, mm bado naamini Lyanga ni moja ya making hatari sana hapa nchini, pale azam amekumbana na akina Kipre junior, Nado, Nk lkn hakuwa chaguo la kocha ila Lyanga ni mashine sana.

Simba msije kusema hatukuwaambia, lakini narudia kuwashauri Israel Mwenda atafutiwe beki wa kulia mwenzake mzuri, huyo sio mwingine ni Kevin Kijiri
 
Nimeona Azam wameachana na Ayoub Lyanga, huyu kiungo ni mzuri sana, mwanza anajua kupiga kona, pili, ni mzoefu, tatu bado boli analo, mm bado naamini Lyanga ni moja ya making hatari sana hapa nchini, pale azam amekumbana na akina Kipre junior, Nado, Nk lkn hakuwa chaguo la kocha ila Lyanga ni mashine sana.

Simba msije kusema hatukuwaambia, lakini narudia kuwashauri Israel Mwenda atafutiwe beki wa kulia mwenzake mzuri, huyo sio mwingine ni Kevin Kijiri
Yaani mchezaji aliyeachwa Azam asajiliwe na Simba? Mbona umetudharau hivyo?
 
Naunga mkono hili aisee Simba kama kweli wako serious na kuunda kikosi kazi basi Azam wamewarahisishia kazi maana Ayoub Lyanga mtu kwelikweli
 
Nimeona Azam wameachana na Ayoub Lyanga, huyu kiungo ni mzuri sana, mwanza anajua kupiga kona, pili, ni mzoefu, tatu bado boli analo, mm bado naamini Lyanga ni moja ya making hatari sana hapa nchini, pale azam amekumbana na akina Kipre junior, Nado, Nk lkn hakuwa chaguo la kocha ila Lyanga ni mashine sana.

Simba msije kusema hatukuwaambia, lakini narudia kuwashauri Israel Mwenda atafutiwe beki wa kulia mwenzake mzuri, huyo sio mwingine ni Kevin Kijiri
balua atacheza wapi?
 
Kwa ukubwa wa Simba sitegemei kuchukua mabaki ya wachezaji walioachwa.
Simba ni kubwa kwenye Makaratasi tu ila kiuhalisia kwasasa timu imechoka ndo maana tulikuwa tunamtegemea Babu Saidoo na ndo mfungaji bora wa Simba kwa misimu miwili kwahiyo kipindi cha kuijenga upya timu ukipaniki na kukurupuka unaishia kupata magarasha mengine kama kina Jobe na Babacar Sarr
 
Halafu mwisho wa siku anakula tu mshahara kama alivyofanya Shaban Chilunda! Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.
 
Nimeona Azam wameachana na Ayoub Lyanga, huyu kiungo ni mzuri sana, mwanza anajua kupiga kona, pili, ni mzoefu, tatu bado boli analo, mm bado naamini Lyanga ni moja ya making hatari sana hapa nchini, pale azam amekumbana na akina Kipre junior, Nado, Nk lkn hakuwa chaguo la kocha ila Lyanga ni mashine sana.

Simba msije kusema hatukuwaambia, lakini narudia kuwashauri Israel Mwenda atafutiwe beki wa kulia mwenzake mzuri, huyo sio mwingine ni Kevin Kijiri
Unasukumia dampo la kariakoo!
 
Halafu mwisho wa siku anakula tu mshahara kama alivyofanya Shaban Chilunda! Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.
Shabani Idd Chilunda ni Mchezaji mzuri tu sema Simba yangu ina mihemko tu sasa ulipomuacha Chilunda akaja jobe kilitokea nini? Chilunda hakupewa nafasi kwahiyo siwezi kumjaji
 
Unasukumia dampo la kariakoo!
mudathir ni idea kubwa moja wapo. aliachwa azam, kidogo aache mpira kabisa. today yupo Yanga 1st 11.
kapata agency mpya , ana deal mezani la kwenda mbele swala la mda tu. next season yanga hayupo tena.

azam wana recruitment nzuri sana. sema team structure ya kijinga.
 
Kuna namna kadhaa za kuwa free agent. Yeye ni free agent kivipi? Mkataba umeisha yeye ndio hataki kusaini ili aende timu yenye maslahi bora zaidi au mkataba umeisha na Azam hawana nia ya kumuongezea mwingine?
Yuko huru au hayuko huru
 
Back
Top Bottom