chibuOG
Senior Member
- Apr 11, 2024
- 169
- 337
nami nimetoa mfano wa mbappe kama kukuunga mkono ndugu yanguNdio maana nasema sio mbaya hiyo kuachwa ktk lugha ya mpira tunaita free agent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami nimetoa mfano wa mbappe kama kukuunga mkono ndugu yanguNdio maana nasema sio mbaya hiyo kuachwa ktk lugha ya mpira tunaita free agent
kuwa FREE AGENT ni kumaliza mkataba bila kujali kuwa wanataka kukuongeza au hawataki.Halafu unaweza kuwa mchezaji mzuri sana lakini usiwe kwenye mipango ya timu husika hata kama ni ndogo kiasi gani lakini ukawa wa thamani kubwa kwenye timu kubwa kabisa.Ukitaka mifano sema nitakupaKuna namna kadhaa za kuwa free agent. Yeye ni free agent kivipi? Mkataba umeisha yeye ndio hataki kusaini ili aende timu yenye maslahi bora zaidi au mkataba umeisha na Azam hawana nia ya kumuongezea mwingine?
Kwa Simba Ipi sasa ashindwe kucheza? kiukweli tu bila kupepesa macho ni kuwa Azam wana kikosi kizuri sana kuliko Simba.Kwahiyo Ayoub Lyanga kukosa nafasi Azam ni kitu cha kawaida sana kwa ubora wa kikosi walichonacho lakini kwa Simba hii ya Mawinga Willy Esomba Onana sijui Ladack Chasambi na Edwin Balua anacheza vizuri tuu.Yaani kapi liachwe Azam lije kushine Simba? Kama kashindwa kuwa weka benchi akina Kipre atawezaje kucheza Simba?
Hahahaha 😆 kumbe tuko pamoja ndugu,nisamehe mkuunami nimetoa mfano wa mbappe kama kukuunga mkono ndugu yangu
Lyanga ni mzuri sana tatizo majeruhi yalimuharibia kule azamNimeona Azam wameachana na Ayoub Lyanga, huyu kiungo ni mzuri sana, mwanza anajua kupiga kona, pili, ni mzoefu, tatu bado boli analo, mm bado naamini Lyanga ni moja ya making hatari sana hapa nchini, pale azam amekumbana na akina Kipre junior, Nado, Nk lkn hakuwa chaguo la kocha ila Lyanga ni mashine sana.
Simba msije kusema hatukuwaambia, lakini narudia kuwashauri Israel Mwenda atafutiwe beki wa kulia mwenzake mzuri, huyo sio mwingine ni Kevin Kijiri