Aysharose Mattembe: Serikali Ilete Fedha Kukamilisha Kituo cha Afya cha Ngimu

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
"Je, ni lini Serikali itapeleka fedha za kutosha kukamilisha kituo cha Afya cha Ngimu katika Jimbo la Singida Kaskazini" - Mhe. Aysharose Mattembe, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida.

"Nimuhakikishie Mbunge Aysharose Mattembe kuwa tayari tumeshakiingiza kituo cha Afya kwenye orodha ya vituo ambavyo vinatafutiwa fedha kwenye mwaka ujao wa fedha ili kiweze kujengwa majengo yaliyopungua" - Dkt. Festo Dugange, Naibu Waziri TAMISEMI (Afya).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…