Karibu sana Aysher, nimependa jina lako Aysher, ukiniruhusu nitakupenda na wewe pia.Habari Zenu Wakuu Nimekuwa Nikifuatilia Jf Kwa Kipindi Nikiwa Nje Lakini Sasa Imenivutia Nimeamua Kujiunga Nanyi, Naimani Mtanipokea Kwa Ushirikiano Kama Mwanajamii Mwenzenu! Shukran,
Aysher
Pole ndo damu zilitoka nyingi hivyo duh! watu wanatabia mbaya yani mabusu mpk damu..!Yaah ndo mie
Karibu sana mgeni.!Habari Zenu Wakuu Nimekuwa Nikifuatilia Jf Kwa Kipindi Nikiwa Nje Lakini Sasa Imenivutia Nimeamua Kujiunga Nanyi, Naimani Mtanipokea Kwa Ushirikiano Kama Mwanajamii Mwenzenu! Shukran,
Aysher
[emoji38] [emoji38] [emoji38] siwezi kuwakinai wageni. Napumzika kidogo kutoka katika kamati ya mapokezi. Lakini nitarejea hivi karibuni.!Naona 'umewakinai' wageni mkuu.
[emoji4][emoji4][emoji4]