Ayubu jiandae kesho wanakupa kashfa kama Manula ilivyotokea kwenye dabi iliyopita Simba kufungwa goli 5

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nawaza na kesho watasema Manula na Ayubu kawafungisha tena. Lengo si kuwatisha juzi niliandika goli 4 mpaka saa 10am goli zimefikia 5 ft kwahio

Na hapo kuna matatu au 5 bila, 4 moja au 3 mbili. Kati ya haya ni matokeo ya kesho Yanga akishinda

Kaka Ayubu hawa wahuni wanakupenda kabla ya derby mjuze na mwenzio mpya huyo ajiandae na matusi

Na vile wengi Kingereza hawajui ukipita mbele yako utasikiaa msonyooi fyuuuu ujue lako hiloo. Abdest
 
Ayubu sidhani kama atacheza kesho
 
Tuliza kipira hicho mpira huchezwa uwanjani siyo ndotoni
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…